Mimi kwa uelewa wangu majina kama hayo wanapewa watu maalum na waliochangia sana kwenye vitu muhimu vya nchi,Kibaki hana jipya,tunaonekana Watanzania tumejipendekeza sana kwa hilo Je kenya kuna Barabara ya Nyerere,Mwinyi,Mkapa au yeye mwenyewe Kikwete?tujiulize hilo
Sent from my BlackBerry 9300...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.