Recent content by vaistev

  1. V

    Mjadala kwa wanaokataa Kuoa (Ndoa)

    Dah wanawake bhana mumewe anatumia kinga ila mwalimu wa kwaya anapewa kavu
  2. V

    Ni sawa kumpeleka mtoto wa miaka minne boarding?

    Kwema wakuu! Nina binti wa miaka minne ambae nimeamua kumpeleka boarding kutokana na kukosa maelewano mazuri na mzazi mwenzangu hali iliyopelekea nitengane nae na kubaki na mwanangu. Niliamua kuchukua uamuzi huo baada kutokana na mda mwingi kuwa bize na kazi na kukosa mda wa kutosha kukaa nae...
Back
Top Bottom