Recent content by Uzima

  1. U

    Askofu Gwajima amuonya Abdalah Bulembo na CCM waache kumchokoza mara moja!!!

    pamoja sana mkuu, nafikiri pamesahihishwa:poa:poa:poa
  2. U

    Askofu Gwajima amuonya Abdalah Bulembo na CCM waache kumchokoza mara moja!!!

    Tutaona na kusikia mengi nyakati hizi.!!!
  3. U

    Askofu Gwajima amuonya Abdalah Bulembo na CCM waache kumchokoza mara moja!!!

    sikiliza clip utamsikiliza vizuri na kumwelewa mkuu
  4. U

    Askofu Gwajima amuonya Abdalah Bulembo na CCM waache kumchokoza mara moja!!!

    Gwajima ni sampuli nyingine nakuhakikishia kama kuna mtu anajiamini amguse aone mziki wake
  5. U

    Askofu Gwajima amuonya Abdalah Bulembo na CCM waache kumchokoza mara moja

    unamaanisha nini:rant::rant::rant: mbona hueleweki
  6. U

    Askofu Gwajima amuonya Abdalah Bulembo na CCM waache kumchokoza mara moja!!!

    Askofu Gwajima amemsisitizia Bulembo kuwa aache kwani akirudia atamlazimisha awalipue na wale waliomtuma kitu ambacho sio kizuri kwani kitasababisha nchi itikisike na macho yao yatoke moshi wasiamini. Askofu Gwajima aliwaomba watu wa ccm waliohudhuria ibada yake wampelekee ujumbe huu kumtaka...
  7. U

    Askofu Gwajima amuonya Abdalah Bulembo na CCM waache kumchokoza mara moja!

    Amemsisitizia kuwa aache kwani akirudia atamlazimisha awalipue na wale waliomtuma kitu ambacho sio kizuri kwani kitasababisha nchi itikisike na macho yao yatoke moshi wasiamini na kuona pakujishika. Askofu Gwajima aliwaomba watu wa CCM waliohudhuria ibada yake wampelekee ujumbe huu kumtaka...
  8. U

    Askofu Gwajima amuonya Abdalah Bulembo na CCM waache kumchokoza mara moja

    Askofu Mkuu wa kanisa la Ufufuo na Uzima Dr Josephat Gwajima leo hii kwenye ibada yake Amelazimika kumuonya Abdalah buhembo kutokana na kumchokoza kwenye kampeni za ccm hapo jana mkoani Singida kitu ambacho hakikumfurahisha kutokana na jinsi alivyoongea. Amesema abdalah akiendelea hatamjibu...
Back
Top Bottom