Recent content by Uzima Tele

  1. U

    JamiiForums Tanzania Jaji Mstaafu Othman Chande: "Waliokatwa majina yao" ndio waliohamasisha na kuchochea vurugu na mauaji ya Oktoba 29

    Wanaficha ukweli, na kwa kiburi chao wanazidi kutengeneza chain ya uongo inayowavuta kuelekea chini kuzimu. Na walivyofungwa akili na ufahamu wao wanadhani kuwa kwa kuzidi kuufukia ukweli kwa uongo basi huko ndiko kujiokoa kwao na makosa na dhambi zao.... WAMEKOSEA, SIO HIVYO.....!! Mungu...
  2. U

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Jaji Chande: Kuna kijana Usariver alipewa shilingi 50,000 na kuahidiwa Tsh. Milioni 5 ili ashiriki (maandamano)

    Kama mtu aliyekuwa Jaji anaweza kutengeneza uongo wa Wazi Wazi kiasi hiki, hivi wakati akiwa kazini kama Jaji anaweza kuwa aliwahukumu watu wangapi kwa sbb za uongo tu? Mungu Yehova, Baba wa Bwana na mwokozi wetu Yesu KRISTO, msamehe tu huyu Mzee na wenzake... Yaani mtu apewe 50,000, halafu...
  3. U

    JamiiForums Tanzania Mahakama ya rufani yairuhusu CHADEMA kuendelea na shughuli za kisiasa nchini

    You have a problem called "fear of unknown". You fear something which know nothing about Find an opportunity to see a doctor to examine your mental health before it's late Your hallucinations can't be justified Here is my advice 👇👇 Stop being paranoid Stop hallucinating things
  4. U

    JamiiForums Tanzania Martin Maranja Masese: Kubomoa na kujenga upya Muhimbili

    Duuh, hizi sio akili bali ni matope Hivi mtu timamu anaweza vipi kuwa na fikra za kubomoa majengo yote ya hospitali ambayo yanafanya kazi na hapo hapo ujenge mengine mapya kwa kigezo kuwa hakuna eneo jingine la ardhi la kupanulia hospitali hiyo? Haingii akilini hata kidogo!! Kama kweli Kuna...
  5. U

    JamiiForums Tanzania Video: CHADEMA wamjibu Chalamila & Katibu mwenezi wa CCM - Kenani Kihongozi kwa utetezi wao dhaifu wa kupanda kwa bei ya nishati ya petrol

    Kwa hiyo una maana gani hapa? Kwamba, hiyo serikali kupitia katibu mkuu wa wizara ya nishati na madini wakati anatoa taarifa ya uwepo wa petroleum reserve ya miezi mitatu alikuwa anadanganya sio? For what reasons hata adanganye? All in all, maswali muhimu zaidi wanayopaswa kujibu kina...
  6. U

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 John Heche: Walitufuata na kutupa masharti ili Lissu aachiliwe, tumekataa kuwapigia magoti

    It's you who is foolish.. Tundu Lissu has not committed any crime to deserve any punishment His crime, may be is to refuse to worship the wicked and evil idolatry of the rulers..
  7. U

    JamiiForums Tanzania Simulizi ya Askofu Josephat Gwajima alivyotaka kuuwawa na Utawala wa JK 2005 - 2015. Kisa? Alipinga harakati za kuanzishwa mahakama ya kadhi Tanzania!

    Alianza kufuatiliwa na wasiojulikana kuanzia Morogoro, wakashindwa kumkamata Wakamfuata Arusha alipokuwa kwenye kikao cha maaskofu wa makanisa, akiwa huko ndipo ikatolewa amri, asirudi DSM akiwa hai Askari Polisi, Kamanda Kova, RPC wa mkoa wa kipolisi DSM (by then) ndiye alikabidhiwa jukumu la...
  8. U

    JamiiForums Tanzania Mtumishi wa Umma anayedaiwa kuwa mwadilifu anapata wapi uwezo wa kujenga Hotel ya Namna hii?

    Unalipwa kwa output!!??? Sikiliza bro, that's not in Africa, especially in Tanzania! Kama unataka uthibitishe hili: Chukua mshahara wa mbunge (almost 20M/month) na Chukua mafao yake baada ya miaka mitano (almost 300M) VS mshahara wa daktari, mwalimu, nesi au askari Polisi/jeshi (ranging...
  9. U

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 John Heche: Walitufuata na kutupa masharti ili Lissu aachiliwe, tumekataa kuwapigia magoti

    Don't be stupid Kwani wewe huna hata akili ya kawaida tu, yaani (common sense) ya kuiona na kuitambua HAKI? Wakati mwingine kunyamaza ni busara na hekima zaidi kuliko kuandika au kutetea ujinga na upumbavu wa watawala! Kumbuka: Tanzania tuna "watawala" na sio "viongozi" Viongozi huwekwa na...
  10. U

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 John Heche: Walitufuata na kutupa masharti ili Lissu aachiliwe, tumekataa kuwapigia magoti

    Wewe kweli hamnazo Kwa ishu ya kuachiwa kwa masharti hayo, wewe "unafikiri tu" lakini wenzio wana "reality" in their hands ===Unachokataa na kubishia ni nini hasa wakati wenzio (watoa hoja) top officials wa CHADEMA Heche, John Mnyika na wenzao wanathibitisha kufuatwa kupewa masharti yaliyo nje...
  11. U

    JamiiForums Tanzania Mtumishi wa Umma anayedaiwa kuwa mwadilifu anapata wapi uwezo wa kujenga Hotel ya Namna hii?

    Wewe jamaa una shida kubwa kwenye upstair yako.. 1. Kwani kwenye pesa yetu (TANZANIAN SHILLINGS) hai - counting kiasi cha kufikia kiwango cha billions? 2. Amini usiamini, ni ngumu na ni jambo la ajabu kwa mtumishi wa umma kuwa billionaire kwa sbb; 👉Kawaida mshahara hutolewa Ili ukidhi...
  12. U

    JamiiForums Tanzania Mtumishi wa Umma anayedaiwa kuwa mwadilifu anapata wapi uwezo wa kujenga Hotel ya Namna hii?

    Pinga hesabu yako hapa tusijue hizo posho na marupurupu. Narudia tena kukuambia kwamba; mtumishi wa umma (mwajiriwa wa mshahara) popote pale duniani kuwa tajiri billionaire IS ALMOST 99% IMPOSSIBLE UNLESS AWE MWIZI!! Na kimsingi hayo unayosema, marupurupu na connection si kitu kingine...
  13. U

    JamiiForums Tanzania Mtumishi wa Umma anayedaiwa kuwa mwadilifu anapata wapi uwezo wa kujenga Hotel ya Namna hii?

    Wewe unazifanyia calculation pesa zote anazopata kuwa zinaingia kwenye biashara kana kwamba hali chakula yeye na watoto wake, hasomeshi watoto na ndugu, hafanyi matumizi mengine, hatoi misaada na sadaka za kinafiki za kujipendekeza zile za wanasiasa nk. Kikubwa zaidi, umesahau kabisa kuwa (kwa...
  14. U

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Bibi wa Taifa: Maiti za MO29 zilichomwa kwenye tanuru

    Ndugu Mnyenz unampa heshima asiyokuwa nayo huyu Tlaatlaah kwa kumpa title ya "ukuu" asiokuwa nao. Huyu Tlaatlaah ni wenzake ni project ya u-chawa tu watetezi wa uovu na maovu duniani kwa kujua au kutojua. Hawa ni mawakala halisi wa shetani ambaye ni baba yao wa uongo, mnafiki na muuaji mnywa...
  15. U

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Bibi wa Taifa: Maiti za MO29 zilichomwa kwenye tanuru

    Ni shetani aliye ndani yako anakutumia bila kujijua kulalamika kwa kuwa siri ya uovu wao imefichuliwa Mimi nilifikiri utatoa wito kwa vyombo vya uchunguzi kumwomba huyu mama awasaidie kumwaga ushahidi wa tuhuma hizi Ili kusaidia kupatikatikana kwa haki..? Badala yake, mbona unamshambulia mtu...
Back
Top Bottom