1. Hivi ni kwanini statement hii ya ufafanunuzi itokee kwa Polisi walioko Dodoma wakati tukio limetokea mkoa wa SIMIYU wilaya ya ITILIMA Kijiji cha NKOLOLO?
2. Mkoa wa SIMIYU una RPC na tukio limetokea mkoani mwake. Wilaya ya ITILIMA ina OCD na tukio limetokea ndani ya wilaya yake. Kwanini...
Na Emily Mwakilembe
Katikati ya hofu, kuvunjika moyo na giza la kisiasa, wakati mwingine hutokea mtu anayethubutu kuisema kweli chungu sana, ile ambayo wengi huogopa kuisema.
Mwaka 2018, Profesa Mark James Mwandosya alipomtembelea nyumbani kwake Joseph Mbilinyi (Sugu), baada ya kutoka...
Mimi nilikuwa msimamizi mkuu ktk Moja ya kituo kata ya Ngokolo -Shinyanga Manispaa
Kituo chetu kilikuwa na registered voters 428
Hadi inafika saa 10:00 jioni siku hiyo, ni wapiga kura 31 tu ndo walifika na kupiga kura siku hiyo!!
Tulipopeleka matokeo yetu kwa Returning Officer (Mtendaji wa...
Mimi nilikuwa msimamizi mkuu ktk Moja ya kituo kata ya Ngokolo -Shinyanga Manispaa
Kituo chetu kilikuwa na registered voters 428
Hadi inafika saa 10:00 jioni siku hiyo, ni wapiga kura 31 tu ndo walifika na kupiga kura!!
Tulipopeleka matokeo yetu kwa Returning Officer (Mtendaji wa Kata)...
Uhuru wa Tundu Lissu dhidi ya mwanamke katili, mpuuzi na muuaji Samia Suluhu Hassan sio business transaction
Tundu Lissu sio biashara ya ujinga unaoitwa maridhiano.
Tundu Lissu anapaswa kuwa nje akiendelea na maisha yake, na shughuli zake. Hayo mengine ni ya Samia Suluhu Hassan na wapuuzi...
Duuh, sijui hata kama anajielewa huyu. Na kwa lafudhi yake, ni kama wa kulekule Kizimkazi - Zanzibar. Anamtetea Mzanzibari mwenzake Samia lakini bila hoja, ili mradi anapanua mdomo tu kusema
Anapiga kelele tu badala ya kujibu na kutetea hoja zake
Tulijua na tulisema, hapa mlengwa ni CHADEMA...
Pesa za kupewa na TISS na CCM kwa mlango wa nyuma haiwezi kuwa ni "mapato ya chama" cha CHAUMA
Hizi yeyote anayeweza kuziwahi na kuzipokea zinakuwa ni halali yake
Salumu Mwalimu na Yericko Nyerere wamewazidi ujanja wenzao
Na ofcoz, pesa za hongo daima haziwezi kuwa mapato halali ya taasisi...
Huyu mama na washauri wake nadhani ni hamnazo, hawana akili wala maarifa!
Ni kama wamechanganyikiwa kiasi cha kutotambua wafanye nini, wapi na wakati gani
Hivi kweli katika wakati huu mgumu walionao CCM na serikali yao ni wakati sahihi kweli wa kufikiria kumfukuza Vice President Dk Emmanuel...
Haa🤪🤪
Jamaa wanasema "HAFUKUZIKI" maana njia ya kumkimbiza na kumfukuza imejaa miiba, nge na majoka ya sumu kalikali
https://youtu.be/oQXAmlOk9OM?si=fdhz88eyz_pc45oO
Wanaficha ukweli, na kwa kiburi chao wanazidi kutengeneza chain ya uongo inayowavuta kuelekea chini kuzimu. Na walivyofungwa akili na ufahamu wao wanadhani kuwa kwa kuzidi kuufukia ukweli kwa uongo basi huko ndiko kujiokoa kwao na makosa na dhambi zao....
WAMEKOSEA, SIO HIVYO.....!!
Mungu...
Kama mtu aliyekuwa Jaji anaweza kutengeneza uongo wa Wazi Wazi kiasi hiki, hivi wakati akiwa kazini kama Jaji anaweza kuwa aliwahukumu watu wangapi kwa sbb za uongo tu?
Mungu Yehova, Baba wa Bwana na mwokozi wetu Yesu KRISTO, msamehe tu huyu Mzee na wenzake...
Yaani mtu apewe 50,000, halafu...
You have a problem called "fear of unknown". You fear something which know nothing about
Find an opportunity to see a doctor to examine your mental health before it's late
Your hallucinations can't be justified
Here is my advice 👇👇
Stop being paranoid
Stop hallucinating things
Duuh, hizi sio akili bali ni matope
Hivi mtu timamu anaweza vipi kuwa na fikra za kubomoa majengo yote ya hospitali ambayo yanafanya kazi na hapo hapo ujenge mengine mapya kwa kigezo kuwa hakuna eneo jingine la ardhi la kupanulia hospitali hiyo?
Haingii akilini hata kidogo!!
Kama kweli Kuna...
Kwa hiyo una maana gani hapa?
Kwamba, hiyo serikali kupitia katibu mkuu wa wizara ya nishati na madini wakati anatoa taarifa ya uwepo wa petroleum reserve ya miezi mitatu alikuwa anadanganya sio? For what reasons hata adanganye?
All in all, maswali muhimu zaidi wanayopaswa kujibu kina...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.