Wanaficha ukweli, na kwa kiburi chao wanazidi kutengeneza chain ya uongo inayowavuta kuelekea chini kuzimu. Na walivyofungwa akili na ufahamu wao wanadhani kuwa kwa kuzidi kuufukia ukweli kwa uongo basi huko ndiko kujiokoa kwao na makosa na dhambi zao....
WAMEKOSEA, SIO HIVYO.....!!
Mungu...
Kama mtu aliyekuwa Jaji anaweza kutengeneza uongo wa Wazi Wazi kiasi hiki, hivi wakati akiwa kazini kama Jaji anaweza kuwa aliwahukumu watu wangapi kwa sbb za uongo tu?
Mungu Yehova, Baba wa Bwana na mwokozi wetu Yesu KRISTO, msamehe tu huyu Mzee na wenzake...
Yaani mtu apewe 50,000, halafu...
You have a problem called "fear of unknown". You fear something which know nothing about
Find an opportunity to see a doctor to examine your mental health before it's late
Your hallucinations can't be justified
Here is my advice 👇👇
Stop being paranoid
Stop hallucinating things
Duuh, hizi sio akili bali ni matope
Hivi mtu timamu anaweza vipi kuwa na fikra za kubomoa majengo yote ya hospitali ambayo yanafanya kazi na hapo hapo ujenge mengine mapya kwa kigezo kuwa hakuna eneo jingine la ardhi la kupanulia hospitali hiyo?
Haingii akilini hata kidogo!!
Kama kweli Kuna...
Kwa hiyo una maana gani hapa?
Kwamba, hiyo serikali kupitia katibu mkuu wa wizara ya nishati na madini wakati anatoa taarifa ya uwepo wa petroleum reserve ya miezi mitatu alikuwa anadanganya sio? For what reasons hata adanganye?
All in all, maswali muhimu zaidi wanayopaswa kujibu kina...
It's you who is foolish..
Tundu Lissu has not committed any crime to deserve any punishment
His crime, may be is to refuse to worship the wicked and evil idolatry of the rulers..
Alianza kufuatiliwa na wasiojulikana kuanzia Morogoro, wakashindwa kumkamata
Wakamfuata Arusha alipokuwa kwenye kikao cha maaskofu wa makanisa, akiwa huko ndipo ikatolewa amri, asirudi DSM akiwa hai
Askari Polisi, Kamanda Kova, RPC wa mkoa wa kipolisi DSM (by then) ndiye alikabidhiwa jukumu la...
Unalipwa kwa output!!???
Sikiliza bro, that's not in Africa, especially in Tanzania!
Kama unataka uthibitishe hili:
Chukua mshahara wa mbunge (almost 20M/month) na Chukua mafao yake baada ya miaka mitano (almost 300M)
VS
mshahara wa daktari, mwalimu, nesi au askari Polisi/jeshi (ranging...
Don't be stupid
Kwani wewe huna hata akili ya kawaida tu, yaani (common sense) ya kuiona na kuitambua HAKI?
Wakati mwingine kunyamaza ni busara na hekima zaidi kuliko kuandika au kutetea ujinga na upumbavu wa watawala!
Kumbuka: Tanzania tuna "watawala" na sio "viongozi"
Viongozi huwekwa na...
Wewe kweli hamnazo
Kwa ishu ya kuachiwa kwa masharti hayo, wewe "unafikiri tu" lakini wenzio wana "reality" in their hands
===Unachokataa na kubishia ni nini hasa wakati wenzio (watoa hoja) top officials wa CHADEMA Heche, John Mnyika na wenzao wanathibitisha kufuatwa kupewa masharti yaliyo nje...
Wewe jamaa una shida kubwa kwenye upstair yako..
1. Kwani kwenye pesa yetu (TANZANIAN SHILLINGS) hai - counting kiasi cha kufikia kiwango cha billions?
2. Amini usiamini, ni ngumu na ni jambo la ajabu kwa mtumishi wa umma kuwa billionaire kwa sbb;
👉Kawaida mshahara hutolewa Ili ukidhi...
Pinga hesabu yako hapa tusijue hizo posho na marupurupu.
Narudia tena kukuambia kwamba; mtumishi wa umma (mwajiriwa wa mshahara) popote pale duniani kuwa tajiri billionaire IS ALMOST 99% IMPOSSIBLE UNLESS AWE MWIZI!!
Na kimsingi hayo unayosema, marupurupu na connection si kitu kingine...
Wewe unazifanyia calculation pesa zote anazopata kuwa zinaingia kwenye biashara kana kwamba hali chakula yeye na watoto wake, hasomeshi watoto na ndugu, hafanyi matumizi mengine, hatoi misaada na sadaka za kinafiki za kujipendekeza zile za wanasiasa nk.
Kikubwa zaidi, umesahau kabisa kuwa (kwa...
Ndugu Mnyenz unampa heshima asiyokuwa nayo huyu Tlaatlaah kwa kumpa title ya "ukuu" asiokuwa nao.
Huyu Tlaatlaah ni wenzake ni project ya u-chawa tu watetezi wa uovu na maovu duniani kwa kujua au kutojua.
Hawa ni mawakala halisi wa shetani ambaye ni baba yao wa uongo, mnafiki na muuaji mnywa...
Ni shetani aliye ndani yako anakutumia bila kujijua kulalamika kwa kuwa siri ya uovu wao imefichuliwa
Mimi nilifikiri utatoa wito kwa vyombo vya uchunguzi kumwomba huyu mama awasaidie kumwaga ushahidi wa tuhuma hizi Ili kusaidia kupatikatikana kwa haki..?
Badala yake, mbona unamshambulia mtu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.