Ndugu Mnyenz unampa heshima asiyokuwa nayo huyu Tlaatlaah kwa kumpa title ya "ukuu" asiokuwa nao.
Huyu Tlaatlaah ni wenzake ni project ya u-chawa tu watetezi wa uovu na maovu duniani kwa kujua au kutojua.
Hawa ni mawakala halisi wa shetani ambaye ni baba yao wa uongo, mnafiki na muuaji mnywa...
Ni shetani aliye ndani yako anakutumia bila kujijua kulalamika kwa kuwa siri ya uovu wao imefichuliwa
Mimi nilifikiri utatoa wito kwa vyombo vya uchunguzi kumwomba huyu mama awasaidie kumwaga ushahidi wa tuhuma hizi Ili kusaidia kupatikatikana kwa haki..?
Badala yake, mbona unamshambulia mtu...
https://youtu.be/40-ATVQ5DHg?si=-ilMc0dfonVjnc_r
Sijui yeye na Mwigulu Nchemba watajisikiaje pale Tundu Lissu atakaposhinda na kutunukiwa Tuzo ya dunia ya Amani ya Nobel, World Nobel Peace Prize?
https://youtu.be/hCgMt6sD0zM?si=dqkSFZPmFfSlwzUZ
Tutaelewana tu
Eti jumla ya wapiga kura 32,000,000 plus walitokeza kupiga kura...
Kati ya hawa wote eti 98% wakampigia kura Samia Suluhu Hassan wa CCM sawa na karibu nusu ya Watanzania
Cha ajabu, huyu mshindi wa 98% anaogopa 2% ambao...
Mwigulu Nchemba haelewi chochote, haielewi lolote...
Yuko traumatized na CHADEMA. Anaumwa ugonjwa unaitwa "chademaphobia"
Dalili ya chademaphobia ni kuweweseka, kuropoka hovyo na ikizidi ni kuingia kwenye wehu au uwendawazimu kabisa!
Hizi dalili ziko dhahiri shahiri kabusa kwa Samia na...
https://youtu.be/vyZooTgyRao?si=eR2nc0nkKUx65ioe
Huyu jamaa anaitwa Vusi ThembeKwayo. Ni m - South Africa.
Recently, alikuja kutembelea Tanzania kwa shughuli zake.
Hata huko nyuma, amekuwa akitembelea Tanzania mara kwa mara. Lakini safari hii, kaikuta Tanzania iliyo tofauti kabisa kiasi cha...
Kama 10,000,000 ni kosa kisheria kukaa nazo ndani, basi hiyo sheria ni nzuri na ni very protective
Lakini Ofisi ya Kampuni ya Mabasi ya Mwigulu Nchemba - ESTHER LUXURY COACH wanadai siku ya tarehe 29/10 wakati wa maandamano kupinga uchaguzi, walikuwa na pesa taslimu zaidi ya TZS 2.5B. Wanadai...
HAPANA!
Kwenye ukristo hakuna tofauti ya mafundisho. Hakuna dhehebu la Kikristo lenye mafundisho yasiyojengwa ktk msingi wa KRISTO YESU
Utofauti wetu Wakristo ni kwenye mkazo wa maagano. Kuna Ukristo uliolalia kwenye mafundisho ya AGANO LA KALE (Sheria/Torati) na ule ulioegamia kwenye maagano...
RESPECT is not asked, it's EARNED
If you think she deserves it, then she must earn it
You Pascal Mayalla knows and she knows how to earn it
If she doesn't know, then, she deserves whatever DISRESPECT which comes on her ways!
https://youtu.be/81fVXxv5G_U?si=u5UbC4NXl9Prtyqt
=======================
CHADEMA mpo? Act now to prevent this greedy act before it's too late
Si mnakumbuka ya wale wabunge wa CIVID19 mara baada ya uchaguzi mkuu 2020? Waliapa au hawakuuapa kuwa wabunge?
Historia ya matendo maovu au mazuri...
Mfano ni huyu kwenye YouTube audio video clip hii hapa
Chini ya video hiyo, kwenye comment section, mdau mmoja aka komenti hivi, nikaipenda comment yake na nikaamua kushea nanyi kwa ajili ya mjadala mpana
=============================================
"Taarifa yako ni potofu, unawapotosha...
Umeuliza wakatubu kwa nani
Na mimi nakuuliza swali hili ambalo ukitoa jibu sahihi, itakuwa ndio jibu la swali ulilouliza wewe
Wewe unaendaga kutubu kwa nani ukiwa na haja hiyo?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.