Recent content by Uzima Tele

  1. U

    PostGE2025 Bibi wa Taifa: Maiti za MO29 zilichomwa kwenye tanuru

    Ndugu Mnyenz unampa heshima asiyokuwa nayo huyu Tlaatlaah kwa kumpa title ya "ukuu" asiokuwa nao. Huyu Tlaatlaah ni wenzake ni project ya u-chawa tu watetezi wa uovu na maovu duniani kwa kujua au kutojua. Hawa ni mawakala halisi wa shetani ambaye ni baba yao wa uongo, mnafiki na muuaji mnywa...
  2. U

    PostGE2025 Bibi wa Taifa: Maiti za MO29 zilichomwa kwenye tanuru

    Ni shetani aliye ndani yako anakutumia bila kujijua kulalamika kwa kuwa siri ya uovu wao imefichuliwa Mimi nilifikiri utatoa wito kwa vyombo vya uchunguzi kumwomba huyu mama awasaidie kumwaga ushahidi wa tuhuma hizi Ili kusaidia kupatikatikana kwa haki..? Badala yake, mbona unamshambulia mtu...
  3. U

    PostGE2025 Taasisi ya Kimataifa - Index On Censorship (IoC) yatoa majina 10 ya wanaowania Tuzo ya Dikteta wa mwaka (Tyrant of Year 2025)

    Duuh, aisee ameshinda bhana🙏🏻🙏🏻 Nani alikwenda kumpokelea hiyo tuzo aisee?
  4. U

    Samia ashinda tuzo ya Tyrant of the Year( Mtawala Mbaya wa Mwaka)

    https://youtu.be/40-ATVQ5DHg?si=-ilMc0dfonVjnc_r Sijui yeye na Mwigulu Nchemba watajisikiaje pale Tundu Lissu atakaposhinda na kutunukiwa Tuzo ya dunia ya Amani ya Nobel, World Nobel Peace Prize?
  5. U

    PostGE2025 Dkt Richard Mbunda: Takwimu za Matokeo ya uchaguzi wa 29/10 haziendani na takwimu za wapiga kura. Wahusika (INEC) wa kutengeneza uongo hawakuwa makini

    https://youtu.be/hCgMt6sD0zM?si=dqkSFZPmFfSlwzUZ Tutaelewana tu Eti jumla ya wapiga kura 32,000,000 plus walitokeza kupiga kura... Kati ya hawa wote eti 98% wakampigia kura Samia Suluhu Hassan wa CCM sawa na karibu nusu ya Watanzania Cha ajabu, huyu mshindi wa 98% anaogopa 2% ambao...
  6. U

    Msimamo wa CHADEMA kutoshiriki kinachoitwa "maridhiano" ni aidha unapotoshwa makusudi au ni hawa wajiitao wachambuzi uchwara kutoelewa maudhui yake

    Mwigulu Nchemba haelewi chochote, haielewi lolote... Yuko traumatized na CHADEMA. Anaumwa ugonjwa unaitwa "chademaphobia" Dalili ya chademaphobia ni kuweweseka, kuropoka hovyo na ikizidi ni kuingia kwenye wehu au uwendawazimu kabisa! Hizi dalili ziko dhahiri shahiri kabusa kwa Samia na...
  7. U

    Vusi Thembekwayo (South African): I was in Tanzania. Something is not right now (Nilikuwa Tanzania. Kuna kitu hakiko sawa hakika!)

    https://youtu.be/vyZooTgyRao?si=eR2nc0nkKUx65ioe Huyu jamaa anaitwa Vusi ThembeKwayo. Ni m - South Africa. Recently, alikuja kutembelea Tanzania kwa shughuli zake. Hata huko nyuma, amekuwa akitembelea Tanzania mara kwa mara. Lakini safari hii, kaikuta Tanzania iliyo tofauti kabisa kiasi cha...
  8. U

    RC Chalamila: Kukaa na Milioni 10 nyumbani ni kosa kisheria

    Kama 10,000,000 ni kosa kisheria kukaa nazo ndani, basi hiyo sheria ni nzuri na ni very protective Lakini Ofisi ya Kampuni ya Mabasi ya Mwigulu Nchemba - ESTHER LUXURY COACH wanadai siku ya tarehe 29/10 wakati wa maandamano kupinga uchaguzi, walikuwa na pesa taslimu zaidi ya TZS 2.5B. Wanadai...
  9. U

    Kulishinda Kanisa Katoliki kwenye nchi Maskini ni ndoto za mchana

    HAPANA! Kwenye ukristo hakuna tofauti ya mafundisho. Hakuna dhehebu la Kikristo lenye mafundisho yasiyojengwa ktk msingi wa KRISTO YESU Utofauti wetu Wakristo ni kwenye mkazo wa maagano. Kuna Ukristo uliolalia kwenye mafundisho ya AGANO LA KALE (Sheria/Torati) na ule ulioegamia kwenye maagano...
  10. U

    Inadaiwa mabilioni yatengwa kulipa mamluki ili kushiriki maridhiano. Wapo viongozi wa dini. CHADEMA ndicho kikwazo. Waghushi ridhaa ya Lissu

    Eeeh hii ndiyo wanaita Ukisimama nchale Ukikaa nchale Ukiinama nchale Ukichuchumaa nchale
  11. U

    Heshima kitu cha bure. Rais Samia ni lazima aheshimiwe na wote, akosolewe kwa staha na asitukanwe

    RESPECT is not asked, it's EARNED If you think she deserves it, then she must earn it You Pascal Mayalla knows and she knows how to earn it If she doesn't know, then, she deserves whatever DISRESPECT which comes on her ways!
  12. U

    Inadaiwa mabilioni yatengwa kulipa mamluki ili kushiriki maridhiano. Wapo viongozi wa dini. CHADEMA ndicho kikwazo. Waghushi ridhaa ya Lissu

    https://youtu.be/81fVXxv5G_U?si=u5UbC4NXl9Prtyqt ======================= CHADEMA mpo? Act now to prevent this greedy act before it's too late Si mnakumbuka ya wale wabunge wa CIVID19 mara baada ya uchaguzi mkuu 2020? Waliapa au hawakuuapa kuwa wabunge? Historia ya matendo maovu au mazuri...
  13. U

    Msimamo wa CHADEMA kutoshiriki kinachoitwa "maridhiano" ni aidha unapotoshwa makusudi au ni hawa wajiitao wachambuzi uchwara kutoelewa maudhui yake

    Mfano ni huyu kwenye YouTube audio video clip hii hapa Chini ya video hiyo, kwenye comment section, mdau mmoja aka komenti hivi, nikaipenda comment yake na nikaamua kushea nanyi kwa ajili ya mjadala mpana ============================================= "Taarifa yako ni potofu, unawapotosha...
  14. U

    Askofu Gwajima: Kuua watu wasio na hatia kwa risasi ni laana katika nchi. Wote walioua wasipotubu nao watauawa kwa namna na jinsi ileile!

    Umeuliza wakatubu kwa nani Na mimi nakuuliza swali hili ambalo ukitoa jibu sahihi, itakuwa ndio jibu la swali ulilouliza wewe Wewe unaendaga kutubu kwa nani ukiwa na haja hiyo?
  15. U

    Askofu Gwajima: Kuua watu wasio na hatia kwa risasi ni laana katika nchi. Wote walioua wasipotubu nao watauawa kwa namna na jinsi ileile!

    Wewe unatubu kwa nani ukiwa na haja hiyo? Kuwajibika kunaanza na toba (ukiri na kukubaliana na makosa yako)
Back
Top Bottom