Recent content by uyoga_mzuri

  1. U

    SIO YA KUKOSA

  2. U

    Wekeza kwenye soko la mpira

    Angalia usifunge milango ya baraka
  3. U

    Wekeza kwenye soko la mpira

    Ndo maana nikasema sio lazima.. Kwa wale tu risk takers wenzangu
  4. U

    Natafuta soko la uyoga

    Most hotels hawatumii wanaprefer uyoga wa kopo
  5. U

    Wekeza kwenye soko la mpira

    Soko la mpira ni miongoni masoko yenye faida kubwa ya rejesho kwa wanahisa wake wote!!! Jiulize kwanini matajiri wakubwa huchagua kuekeza kwenye soko la mpira kwa mfano mohamed dewji na simba, bakhresa na azam, manji na yanga... Sio tu hilo vilabu vya soka vinauwezo wa kuwalipa wachezaji wao...
  6. U

    Wekeza kwenye soko la mpira

    Soko la mpira ni miongoni masoko yenye faida kubwa ya rejesho kwa wanahisa wake wote!!! Jiulize kwanini matajiri wakubwa huchagua kuekeza kwenye soko la mpira kwa mfano mohamed dewji na simba, bakhresa na azam, manji na yanga... Sio tu hilo vilabu vya soka vinauwezo wa kuwalipa wachezaji wao...
  7. U

    Soko kwa wakulima na wafugaji

    Nimekutext private message
  8. U

    Natafuta soko la uyoga

    Habari zenu Mimi ni mkulima wa uyoga aina ya oyster nipo arusha mjini na nimeanza kuvuna, kwa atakaehitaji or anaejua soko la uyoga naomba anijuze private message
Back
Top Bottom