Nataka kuingia kwenye biashara ya daladala, lakini nahitaji ushauri wa wazoefu.
Kwa walio kwenye biashara hii, ni mambo gani muhimu ninayopaswa kuzingatia kabla ya kuanza?
Ukipita hapa mjini na ukiangalia maeneo ya kupaki magari na vituo vya mafuta utakuta dala dala nyingi ziko hoi. Wengi wamepaki na zimeharibika.
Tatizo ni nini???
Yaani unawaita CHADEMA ni "watukutu wenye pepo mchafu" halafu unataka waitikie wito wa mazungumzo!
Leo Agosti 12, 2026, Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Wazazi ya CCM Taifa, Ally Hapi, ametoa kauli akiwa Kilosa mkoani Morogoro akiwataka Maaskofu wa TEC kuwaombea viongozi watukutu wa CHADEMA ili "pepo...
Ukimsikiliza kwa makini Heche anaeleweka sana. Amejenga ushawishi mkubwa sana hapa Tanzania. Ni hakika Heche ni tatizo la CCM. Ni Hakika Heche ni Tunu ya Taifa.
Vigogo wa Chadema mliojipanga kufanya fujo acheni huo mchezo. Kwa Heche mtaumbuka. Umma uko na yeye na Mnyika. Lissu anamkubali.
Leo Kwenye mkutano mkuu wa Bavicha Taifa mjini Dodoma Lema alipewa fursa ya kuongea. Hata hivyo kuna vitu viwili sikuviona.
1. Aliongea na kwa muda mfupi sana na hakukuwa na presha ya kuharakishwa kumaliza.
2. Hakuongea kwa moyo kama desturi yake. Aliongea kama mtu ameandi
Hili ni swali la kutafakari very objectively.
1. Serikali yetu ya Tanzania inatambuliwa na umoja gani hasa?
Umoja wa Ulaya, Marekani, Umoja wa Afrika, SADC, Jumuiya ya Madola na taasisi nyingine za kimataifa zimekuwa na misimamo au hoja mbalimbali kuhusu uchaguzi na matukio ya kisiasa nchini...
Wakati mwingine tujifunze kwa mifano hai. Chama tawala cha Democrats 2020 -2024 walitumia mahakama kumwangusha Trump kisiasa. Trump alishtakiwa kesi 4 na mashataka karibu 100. Trump akageuza uwanja wa mahakama jukwaa la kisiasa la kutafuta huruma ya Wamarekani. Trump Akashinda uchaguzi na kesi...
LIssu anasoma magazeti kama mshtakiwa wa kisiasa. Anajua fitina zinazoendelea.
Lissu anajua mapandikizi ya Serikali ya CCM walioko kwenye chama chake.
Kauli aliyomwambia Heche mahakamani kwamba "UNAFANYA KAZI ILIYOTUKUKA" Siyo kauli ya bahati mbaya hata kidogo.
Ni ujumbe aliotafakari na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.