Ni kweli mtoto anaharibika, ila ufikirii kunwambukiza magonjwa mama kwenda kwa mtoto pindi atakapokuwa tayali utakapomuingilia? Yaani inabidi kuwaheshimu sana wanawake hapo mwanaume anajifikiria yy tu ili ajue watoto watakuwa salama au wataharibika. Dah
Ww chepuka baba uone jinsi gani...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaani kwanza mm ningefunga safari kabisa nikapate upepo mwanana, apeleke talaka mwenyewe kwa wazazi wangu yaani sirudishi
Pole sana mkuu, yaan ww unaonekana ni mtu mwenye hofu ya Mungu sana aiseee ni wachache ukaa na kutathimini makosa waliyofanya, hii inakusaidia kujitambua sana sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.