Ndio waonywe baadhi wanajiona utafikir ndo bora zaidi . ukiona ivo ujue wamesoma kwa shida (wamesomeshwa na ukoo) na elimu ya kuunga . hao wanaowadharau ndo kod zao zinawalipa salary
Mawazo pia yanakondesha xo kapime uwe na uhakika, halafu vvu xo mwisho wa life. Mbona wanaish muda mrefu, mzima anaweza kufariki muda wowote na kwa sabab yoyote. MTEmbelee mwanasaikolojia kwa msaada zaid, pole xana mkuu uskate tamaa. Taifa, jamii na familia inakutegemea
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.