Recent content by uvugizi

  1. uvugizi

    Utotoni dalili ya kwanza kuwa wewe ni wa kiroho or chosen one

    Hongera sana ila usiishie kuwa mganga wa kienyeji bali nakuombea ukawe ni wa yesu na awe na mwokozi wa maisha yako
  2. uvugizi

    Nafanyaje kumsaidia mdogo wangu kukabiliana na mabadiliko ya ukuaji wake kimwili?

    Kuna mtu alikufa alipofika mbinguni akaona saa nyingi za mshale ukutani, akamuuliza malaika hizi za nini ? Akamwambia hizo zinahesabu dhambi, ikizunguka mara moja dhambi moja Kulikuwa na saa moja haizunguki akauliza mbona saa moja haizunguki? Akamwambia ile ni ya nabii Musa hadi anakufa...
  3. uvugizi

    Mitume na manabii wa kileo ni viumbe waliojaa, ghiliba, uroho ubinafsi na uchoyo uliopitiliza

    manabii wazuri wapo na matapeli wapo pia , maana Mungu amewaweka kwa kusudi lake . Maana imeandikwa watakuwepo it means wantakiwa kuwepo vinginevyo angewaondoa . Sisi ni kwenda na kumjua Mungu kwa roho na kweli na yeye atatuongoza. Yesu alisema anatuletea roho mtakatifu na sisi hatumtaki ...
  4. uvugizi

    Utotoni dalili ya kwanza kuwa wewe ni wa kiroho or chosen one

    KUKOJOA KITANDANI : mimi ni mtu wa utafiti naweza nikakubali au nikakataa lakini kunasehemu nataka kukuamini kwani kuna watu walikuwa na katabia kama hizo ni kweli wapo kiroho zaidi , aidha ni watumishi wa Mungu au wa shetani , yaani ni waganga. lakini code nyingine ni . 1. kukataliwa 2...
  5. uvugizi

    PostGE2025 Video nyingi za CNN kuhusu mauaji Tanzania ni AI

    Mtoa post hakujua aanzia wapi ila akaona ngoja na yeye aposti kitu chenye mrengo wa kuponda CNN. Kwa taarifa tu serikali hawakuwapa ushirikiano CNN.
  6. uvugizi

    PostGE2025 Baraza la maaskofu Tanzania (TEC) mnatukosea sana wakatoliki

    Hawa TEC huu ni utaratibu wao wa mambo ya kitaifa makubwa kuyatolea Maelezo . Sasa wakitoa huwa hawana upendeleo kwa sababu wanaamini wanahubiria na kuwatumza kiroho watu wa kaliba zote . Itanichukua muda Sana kufikiri haya unayosema.
  7. uvugizi

    Hili swala la kuhusisha Kenya na maandamano hapa Tanzania linaweza kuzaa jambo kubwa mno

    Yes Yes naunga mkono hoja, professa mihanjo na Kina mahiga wangekuwepo wangetupa uelekeo . Aidha nafikiri mihanjo yupo nilisikiliza one say mahojiano yake on YouTube alisema vitu ambavyo ninaviona , nanukuu " ccm isjibweteke sasa hivi SIASA inetawaliwa na vijana na kwa sababu ya mitandao kuna...
  8. uvugizi

    Sifa za kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali

    Ni mwanasheria mzuri WA mambo ya aviation na alifanya vizuri Sana huko . International laws anazifahamu mambo ya incoterm yupo vizuri .
  9. uvugizi

    GE2025 Babangu kasema hiyo 29 haendi popote

    Sipendi maandamano na si mshabiki WA Wana SIASA . Mimi ni shabiki wa yesu . ila kwa kweli kama taifa tuna shida sehemu . Tunahitaji Umoja wa kitaifa
  10. uvugizi

    GE2025 Binafsi sioni kutakuwa na maandamano Kama inavyozungumziwa

    Kama wakuu wanaona kuna haja ya kudhibiti inakuwaje usione kuna kitu kikubwa kinaenda kutokea . Majeshi yapo yanafanya mazoezi . Kikawaida haya ambayo hayana kiongozi ni mabaya Sana kuliko yanayoongozwa
  11. uvugizi

    GE2025 Salum Mwalimu: CHAUMMA hakuna atakayenyanyaswa kwa sababu ya uraia

    Kumbe GIA ya kuondokea si ile ya Safari . Jamaa walianza kwa mbwembwe nyingi Sana kuivuruga chadema.
  12. uvugizi

    GE2025 Makonda: Nikishinda Ubunge nitamleta Schwarzenegger mwaka mpya Arusha

    Aisee ! Ndiyo maana mwanangu aliniuliza swali tata kabisa , eti baba hivi ni Kwanini jua linatoka mchana wakati usiku ndiyo Kuna giza.. nafungua JF nakutana na nyingine . Kwa sasa Kila mtu atachanganyikiwa kwa muda wake
  13. uvugizi

    GE2025 Samia Suluhu: Yule naye ni mwanangu, ameweka vibao 'Urais mpe Samia, Ubunge nipe mimi'

    Nawajua watu wa Kigoma vizuri . Miaka zaidi ya 27 nipo Kigoma . Kigoma anaenda kuchukua baba levo asubuhi na mapema . Zitto itakuwa ngumu ,kwa sababu ya makando Kando anayohusishwa nayo . Aidha ni ya kweli au uongo, wapiga kura wa Kigoma mjini huwa wana unafiki Fulani wa hear say . Zitto...
  14. uvugizi

    GE2025 Tarime Mjini; Mgombea wa ACT-Wazelendo, Jackson Kangoye aenguliwa na INEC kumsaidia Esther Matiko

    Kama kuna jambo ambalo sikuwahi kuelewa kwa haraka Lakini sasa naelewa ni kitendo Cha chadema kususia uchaguzi . Kama kuna mtu alikuwa anaongea kwa ujasiri na hata kupinga maridhiano ni TUNDU LISSU. Nilimshangaa Sana na kumuona haifai . Leo Naona alikuwa anaona mbali . Funzo kwangu : Hakika...
  15. uvugizi

    Je, ni kweli gesi ya kupikia nchini Cuba inauzwa TZS 2,000? – Uchambuzi wa kitaalamu

    Mleta mada ametumia akili mnemba kupata taarifa ambayo sisi wenye watu huko wanadai taarifa ya ndugu pole pole ni kweli kabisa hasa ukilinganisha na viwango vya ubadilishanaji pesa vipo vya aina mbali mbali. Kwanza ukimuangalia pole pole ni kwamba yeye atakuwa haleti taarifa za uongo kwa...
Back
Top Bottom