Kuna mtu alikufa alipofika mbinguni akaona saa nyingi za mshale ukutani, akamuuliza malaika hizi za nini ?
Akamwambia hizo zinahesabu dhambi, ikizunguka mara moja dhambi moja
Kulikuwa na saa moja haizunguki akauliza mbona saa moja haizunguki?
Akamwambia ile ni ya nabii Musa hadi anakufa...
manabii wazuri wapo na matapeli wapo pia , maana Mungu amewaweka kwa kusudi lake . Maana imeandikwa watakuwepo it means wantakiwa kuwepo vinginevyo angewaondoa . Sisi ni kwenda na kumjua Mungu kwa roho na kweli na yeye atatuongoza. Yesu alisema anatuletea roho mtakatifu na sisi hatumtaki ...
KUKOJOA KITANDANI : mimi ni mtu wa utafiti naweza nikakubali au nikakataa lakini kunasehemu nataka kukuamini kwani kuna watu walikuwa na katabia kama hizo ni kweli wapo kiroho zaidi , aidha ni watumishi wa Mungu au wa shetani , yaani ni waganga. lakini code nyingine ni .
1. kukataliwa
2...
Hawa TEC huu ni utaratibu wao wa mambo ya kitaifa makubwa kuyatolea Maelezo . Sasa wakitoa huwa hawana upendeleo kwa sababu wanaamini wanahubiria na kuwatumza kiroho watu wa kaliba zote . Itanichukua muda Sana kufikiri haya unayosema.
Yes
Yes naunga mkono hoja, professa mihanjo na Kina mahiga wangekuwepo wangetupa uelekeo . Aidha nafikiri mihanjo yupo nilisikiliza one say mahojiano yake on YouTube alisema vitu ambavyo ninaviona , nanukuu " ccm isjibweteke sasa hivi SIASA inetawaliwa na vijana na kwa sababu ya mitandao kuna...
Kama wakuu wanaona kuna haja ya kudhibiti inakuwaje usione kuna kitu kikubwa kinaenda kutokea . Majeshi yapo yanafanya mazoezi . Kikawaida haya ambayo hayana kiongozi ni mabaya Sana kuliko yanayoongozwa
Aisee ! Ndiyo maana mwanangu aliniuliza swali tata kabisa , eti baba hivi ni Kwanini jua linatoka mchana wakati usiku ndiyo Kuna giza.. nafungua JF nakutana na nyingine . Kwa sasa Kila mtu atachanganyikiwa kwa muda wake
Nawajua watu wa Kigoma vizuri . Miaka zaidi ya 27 nipo Kigoma . Kigoma anaenda kuchukua baba levo asubuhi na mapema . Zitto itakuwa ngumu ,kwa sababu ya makando Kando anayohusishwa nayo . Aidha ni ya kweli au uongo, wapiga kura wa Kigoma mjini huwa wana unafiki Fulani wa hear say . Zitto...
Kama kuna jambo ambalo sikuwahi kuelewa kwa haraka Lakini sasa naelewa ni kitendo Cha chadema kususia uchaguzi .
Kama kuna mtu alikuwa anaongea kwa ujasiri na hata kupinga maridhiano ni TUNDU LISSU. Nilimshangaa Sana na kumuona haifai . Leo Naona alikuwa anaona mbali .
Funzo kwangu : Hakika...
Mleta mada ametumia akili mnemba kupata taarifa ambayo sisi wenye watu huko wanadai taarifa ya ndugu pole pole ni kweli kabisa hasa ukilinganisha na viwango vya ubadilishanaji pesa vipo vya aina mbali mbali.
Kwanza ukimuangalia pole pole ni kwamba yeye atakuwa haleti taarifa za uongo kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.