Wimbi la tatu tayari lipo vyumbani. Watajwa hapo juu kama kweli bado hawajapata chanjo ya covid19 basi wachukue tahadhari ya juu sana sana sana; covid19 inaweza elekezwa kuwapenda wao zaidi.
Wajuzi wa mambo watakuwa wameshanielewa vyema kabisa kabisa. Sababu za upendo huo zipo wazi kabisa...
Umesikiliza maelezo ya waziri wake? Najua ugonjwa wake uliokuwa unamsumbua muda.
Ila kilichotokea muda mfupi kabla ya yeye kufariki kitaalam hakina uhusiano wowote na kupanda au kushuka kwa lile tatizo lake.
Habari wana JF.
Leo nimefuatilia live wakati Eng. Mfugale anaagwa Dar. Kwa maelezo machache ya familia, idara na wizara ni wazi kabisa Eng. Mfugale alipewa sumu.
Wito wangu kwa Serikali ifanye uchunguzi wa kina kwa kutumia vyombo na njia zote. Kwa sababu bado hajazikwa nafasi ya uchunguzi wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.