Recent content by UTOPIANISM

  1. UTOPIANISM

    Tukuyu, Rungwe Mbeya wilaya ya kipekee sijaona Tanzania

    Tanzania ni nzuri kama viongoz tunawachagua wangewekeza kwenye miundombinu kwa kuangalia resources zilizop duh tungekuwa mbali kimaendeleo lkn kinyume chake wao wanaiba wanaenda kununua apartment Dubai ama south Africa shame upon them
  2. UTOPIANISM

    Kijana mwauame hanyoi nywele za nyuma kwa wembe utahanithika

    Acha ujinga unamnyolea Nan nywele za nyuma???
  3. UTOPIANISM

    Ushauri: CHADEMA, Mrudisheni Dkt. Slaa chamani kuongeza morali ya ushindi

    Nikweli mkuu kama vile siasa yetu ya amsha amsha imepoa vile
  4. UTOPIANISM

    Msaada: Kichwa kinawaka moto kwa mawazo, nakosa usingizi

    Pole mkuu hiyo Wala usihangaike sana onana na Hawa wachungaji wawili update huduma ya pastoral care utanishukuru Moja nenda pale kijitonyama Lutheran omba kuonana na Rev.Kimaro ama nenda pale kimara korogwe Lutheran church omba kumuona Rev.Mastahi utanishukuru haya mambo actually ni ya ulimwengu...
  5. UTOPIANISM

    Pasco Mayalla ana vielement vya unabii afungue kanisa

    hili andiko nililisoma na hapo ndipo naungana na yule bwana aliyesema yawezekana ukawa na vielement vya u prophetic ama ukawa special department nakumbuka mwaka huo 2015 CCM walipokuwa wanafanya vetting ya nan atakayepew bendera yao ya kupeperusha nilikuwa dodom kuna rafiki yan gu yupo hicho...
  6. UTOPIANISM

    Pasco Mayalla ana vielement vya unabii afungue kanisa

    Mh huwa anageuka geuka huyu bwana kuna wakati nilikuwa namuelewa sana huyu ninja ila kipindi cha mwenda zake sijui alikula maharage ya wapi kwa kuwa alitubalishia atmosphere
  7. UTOPIANISM

    Adhabu ya kifo kwa Muhammad Mursa iliyozua simanzi

    chini ya sheria hakuna mkamilifu hata mmoja ndio maana Yesu alikuja na kwa njia ya yeye tunaishi kwa neema na nguvu ya msamaha kwa imeandikwa usihukumu usije ukahukumiwa na kisasi ni juu ya MUNGU mwenyewe .hiyo post inasikitisha kwa kwel
  8. UTOPIANISM

    Hivi Gambo, Hii Kero Ya Br. Ya Kijenge -mwanama-engutoto Huioni?

    Muache ameshamuomba mama jimbo ligawanywe kwa kuwa mwenye arusha yake amekuja yeye muache aendelelee kugawa majiko ya kupikia :cool::cool:
  9. UTOPIANISM

    Tetesi: Serekali na asasi za khaki za wafanyakazi ifutatilieni Hospital binafsi ya Sandarya Medical centre Makumbusho

    Wakati mwngine kama sio kila kitu kinakuwa na mzaha kama ww huna msaada no vyema ukakaa kimya sio kila kitu kinakuwa na mzaha
Back
Top Bottom