Scott Ritter bado anawavua nguo West. Sasa huyo ni Iran, Vipi kuhusu Missiles za Russia 🇷🇺🇷🇺🇷🇺 mfano wa ile Samart II mh? Wataeza kulizuia kweli??? Wataweza kupambana na Russia hawa?
QA-I'nh
Muungwana acha fiksi.ISIS waliokuwa wanasaidiwa na NATO walibakiza kilomita20 tu kuingia Damascus.Gemu lilibadilika baada ya Vladimir Putin kuamua kuingilia kijeshi kumsapoti ASSAD.Ni kweli ISIS na wafadhili wao wa Magharibi walikula kichapo kitakatifu.Hii SMO ya UKRAINE ni raundi ya pili ya...
Duuh mzee kachagua shule za kata zilizoko Unguja na Pemba ndio anakuja kuwananga waislamu wote wa Tanzania.
Kwa muhtasari tu, improvement ni kubwa sana kwenye baraza la mitihani.Tayari kuna muonekano wa tafauti kwenye matokeo.Nakuwekea screen shot za matokeo ya shule za kiislamu huko huko...
Mkuu JR16,
Kulifikiwa makubaliano ya kusitisha mapigano chini ya usimamizi wa German,Turkey na hata Israel walishiriki pia.Rais wa Israel ndie aliyechukua assurance kwa PUTIN kwamba hatomuua Zelensky.
Lazima uelewe pia lengo la RUSSIA sio kuisambaratisha UKRAINE kama ambavyo ISRAEL anafafnya...
Mbale Islamic University.Imekuwa best private University kwa mara mbili mfululizo.Inaonekana waislamu wanaondekeza quran peke yake na kukataa elimu ya dunia wako Tanzania tu.Maana Algeria,Morocco,Egypt nk wao wanafanya vizuri sana katika masomo ya dunia.Tusisahau pia nchi ya IRAN ina wasomi...
Kama ulisoma ulisoma elimu ya msingi zamani kabla ya 1992,utakumbuka kulikuwa hakuna kauli ya kupasi kwenda form one,bali kuna kauli ilikuwa inatumika kuchaguliwa kuingia kidato cha kwanza.Tulijengewa fikra kuwa nafasi hazitoshi kwa wote wanaofaulu,kwa hiyo wachache wanachaguliwa.Hapo kwenye...
Mangungo usihukumu Jamii nzima kwa kasoro ya sehemu moja.Inawezekana kabisa shule aliyokuwa akifundisha mchumba wako ikawa na tatizo hilo,lakini si zote.Chunguza kidogo hawa tunaowaita wapemba wana wasomi wengi kwa uwiano kulikoni wewe unavyofikiri.
GENTAMYCINE kaongea kwa uchungu sana. Poleni wana makolo wote, lakini siamini kama kuna kiongozi wa Yanga atakuwa mpuuzi kumsajili Chama. Ila nakubaliana na wewe Gagarino na China ni katika viungo bora kabisa kuwahi kucheza mpira hapa East Africa.
Ukraine wananikumbusha mikwara ya Comical Ally wa Iraq wakati wa vita ya pili ya gulf.Kila aliemsikiliza aliamini jamaa wanatoa kipigo kikali kwa US na washirika wake,tena wakiwachinja kwa mamia kila siku kama update za mjomba kirat zinavotuambia.
kama unafikiri ipo siku western media zitakupa habari za mateso waliyopata wakati wa winter,basi amini pia beberu nae atapata mimba. Moja wa waanga wa kukosa nishati rahisi ya RUSSIA ni viwanda vikubwa vya europe,waulizie vipi hali yao kwa sasa. Hali hii ya kuumia kwenye nishati ndio imechochea...
kaka uko sahihi asilimia 90.Tatizo wlilokutana nalo kwa sasa ni kuwa wanadeal na some the very best brain,kwa ufupi RUSSIA ina wasomi wabobevu wa fani nyingi sana kuliko wengi tunavyojua.Embu angalia kwenye ECONOMY walivyoweza kuinitiate Multipolar economy kwa kupunguza influence ya US/WEST...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.