Recent content by utelezi

  1. U

    Tanzania Yapoteza Askari Wake Watatu DRC CONGO

    Haya mambo ni magumu kwani huwezi kuwazuia askari kwenda kufanya kazi waliyotumwa. RIP PTE Vasco utakumbukwa daima na ndugu,jamaa na depomates wa op kilimo kwanza kj 832 kombania ya demo 'a coy'
  2. U

    Wagundua sumu ya kuua VVU mwilini

    Jamaa wanajitahidi sana kuja na 'innovations' za maana lakini tatizo ni kwamba wanakuwa ni watu wa kutangaza tu!Walete dawa hizo watu watumie sio kusema tu.
  3. U

    Uhamisho wa watumishi 2013/2014

    Hivi ucheleweshaji ea namna hii unasababishwa na nini hasa,kama kuna anayejua sababu aziweke hapa ili zijulikane kwa wote.
Back
Top Bottom