Recent content by UTAKUJA UJE

  1. U

    COVID-19 yatua Kigoma

    Tutaelewana mdogo mdogo
  2. U

    Tathmini yangu fupi kuhusu Baraza Jipya la Mawaziri

    Mnashabikia upupu,mnaua demokrasia afu mnapanga vyeo ilimuendelee kututiaumasikini.Kwa yeyotealiyechangia kuua vyama vingi,kupora haki za wapinzani,MUNGU AMUUNGUZE KWA MOTO MKALI,ABAKI MAJIVUMATUPU.Nyambafu
  3. U

    Hivi kuna nchi duniani haina Mbunge Mpinzani?

    Ni Tanzania.Imekuwa ya kwanza kuvunja rekodi
  4. U

    Lini wataachia internet tupige mishe mitandao ya jamii?

    Mahuni hayo,yanaogopa kuchambwa kwa wizi yalioufanya
  5. U

    Watumishi wa umma tumtie moyo Tundu Lissu

    Watumishi wa umma wote kesho tumtie adabu mtesi wetu
  6. U

    Watumishi wa umma tumtie moyo Tundu Lissu

    Siyo watumishi tu,Watanzania wote,wapenda amani,uhueu,haki na demokrasia ya kweli,KWA WINGI NA UMOJA WETU,KURA ZOTE KWA TUNDU ANTIPAS LISSU
  7. U

    GE2020 Rais mwenye kibali cha Mungu, usifanye makosa kura yako

    Watanzania wote mpigieni kura nyingi TUNDU ANTIPAS LISSU
  8. U

    GE2020 CCM wamesaidia kumpandisha chati Tundu Antipas Lissu

    Kila nikimsikiliza Tundu Lissu, nashindwa kuamini kama kweli anayosema ni uwezo wake mwenyewe au kuna nguvu gani nyuma yake. Ukiachilia mbali uwezo na ukuu wa Mungu aliyemponya kifo,ukaachilia mbali ujasiri wake,jambo kubwa linalomfanya Lissu akubalike na azidi kupaa kisiasa ni serikali ya CCM...
  9. U

    GE2020 IGP Simon Sirro, mchukulie hatua kali OCD wilaya ya Hai

    Li OCD lenyewe hata Kiswahilihalijui,shamba kweli!
  10. U

    GE2020 IGP Simon Sirro, mchukulie hatua kali OCD wilaya ya Hai

    Huyo OCD siyo kufutwa kazi tu,akamatwe,acharazwe bakola na aswekwe jela hata miaka kumi.Kuendekeza wahuni wachache wafanye uhuni wao kadri watakavyo kama huyo muhuni-OCD uchwara,ni kutafuta machafuko kwa nchi yetu.Hivi huyo mpuuzi alihakikiwa vyeti kweli?
  11. U

    GE2020 Video: OCD wa Hai amwambia Mbowe hata afanyeje hawezi kumshinda mgombea wa CCM Hai

    HUYO OCD NADHANI HATA VYETI ALIFOJI,AFURUSHWE MARA MOJA
Back
Top Bottom