Mnachosahau Ni kuwa wanaume Ni polygamist naturally Ni muda tu ndio huwa unatofautiana.
Hata hao wanaojifanya wanawapenda wake zao kuliko chochote.
Wafuatilie miisho yao.
Nyie mnawaza kuwamiliki wanaume Kama chupi.
Kwamba ukiwa naye Ni wewe tu!
Endeleeni kujisahaulisha.
Labda Kama baadhi wataamua kutokuwa na watoto kabisa maishani mwao.
Ratio ya 1:1 haipo na haiji kutokea kwa nchi nyingi. Haya mambo hata kwa walizotuletea dini yamewashinda. Ndio maana wameamua kurahisisha talaka. Mnaachana kila mtu anakuwa na mwingine mmoja tu. Lakini katoka kwa mwingine...
Bahati mbaya wengi unakuta walishazalishwa wakaachwa tena na waume za watu.
Na wao wanataka waume zao peke yao.
Wanawake wanachokitaka wanajua wao na Mungu wao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.