Shukran mkuu. Baada ya hapo unamuita binti unamuga kwa shughuli nzito kisha unamuambia aende nyumbani kuna tatizo La kutatua na mama yake, asikutafute mpaka atakapolitatua.
Mama nakuheshimu. Tafadhali mambo ya familia yenu yamalize ndani ya familia yenu. Sijawahi kukupa taarifa kuwa Nina mahusiano ya kimapenzi na mwanao, wala wazee wangu hawajawahi kuleta posa. Utakapotuma tena ujumbe wa aina hii nitachukua hatua, Na kwa kabila letu hatua hufanyiwa kazi na ukoo...
Well, wanawake hamuwaelewi wanaume. Embu Siku kanuna mfuatilie anafanya nn siku nzima? Kama upo nae hapo nyumbani na kakununia basi huyo hana tabia za mwanaume.
Hakuna ulaji hapo! Hao walioteuliwa hawana njaa, Regardless ya walichofanyiwa Vijana wanatakiwa wapunguzwe jazba, hasira ziondoke na Zanzibar iwe tulivu. Kama Mazrui kasamehe na wao watasamehe. Au ulitaka fujo na hasira ziendelee? Zanzibar isiwe na amani na watu waendelee kupoteza maisha!?.
Lissu pole kwa yaliyokukuta, nikukumbushe tu Hakuna baya utakalomuombea usiyempenda lisiikumbe Tanzania maana Watanzania wamekubali waongozwe naye. Upo katika hali ya juu kabisa ya kipimo cha upendo wako kwa taifa Tanzania.
Biblia au Koran haijasema kazi ya kuhukumu ni yako. Wewe oa bikra kazi ya hukumu kwa waliofanya makosa mwachie MUNGU. Wanaume wa kuoa wanawake waliopata watoto iwe waliwapata kwa tabia za kihuni au kwa kutelekezwa wapo na wataendelea kuwepo regardless ya inspiration speech za kuwahimiza...
Kwenye suala la kina halima hakuna anaye shindana na chadema. Ni mambo yao ya chama.. Labda spika na mahakama au msajili ndo anaweza kuingilia na kila mmoja ana mipaka hakuna anayeshindana nao. Hao wanaojiona wameshinda labda ni wale wapiga kelele mitandaoni.
Wapinzani ni binadamu. Wataelewa na kutoa ushirikiano. Japo wapo wachache watakaokua wabishi na wapingaji ila still wasizidishiwe hasira kwa kuwananga. RAISI NI JPM NA CCM NDO KINATAWALA HIYO INATOSHA.
Hakuna mkate mgumu mbele ya chai ndo nini?
ACT baada ya kufanya tathmini na kuona kwa sasa ili kuisaidia TZ ni lazima kushirikiana na serikali.
Misemo ya mikate na chai sijui ulaini haina maana. Inachochea hasira kwa wapinzani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.