Recent content by ushuzi.1

  1. U

    CCM walivyowanyoosha COVID-19 toka CHADEMA hadi raha!

    Watavuna walichopanda
  2. U

    Uamuzi wa kujenga Majengo ya Serikali Dodoma ni Uamuzi wa Kipuuzi, wanaoshangilia ni wajinga

    Ulimwengu wote majiji ya biashara kubwa huwa huru na Serikali hukaa miji isiyo na hekaheka nyingi
  3. U

    Uamuzi wa kujenga Majengo ya Serikali Dodoma ni Uamuzi wa Kipuuzi, wanaoshangilia ni wajinga

    Andiko bora kwa kigezo gani❓yaani kisa unataka watu wajazane Dsm misongamano kama Karachi Pakistan ikitokea mlipuko wa magonjwa kama kipindupindu Nchi inadhoofika kwa kasi ya kutisha, acheni ujinga kukariri maisha ya foleni za Dar ambazo kila siku zinalitia Taifa hasara kubwa kimaendeleo...
  4. U

    Uamuzi wa kujenga Majengo ya Serikali Dodoma ni Uamuzi wa Kipuuzi, wanaoshangilia ni wajinga

    Hata kenya makao makuu ya mkoloni yalianzia mombasa
  5. U

    Uamuzi wa kujenga Majengo ya Serikali Dodoma ni Uamuzi wa Kipuuzi, wanaoshangilia ni wajinga

    Uzalendo ni kusambaza maendeleo kote siyo kubanana Dsm huku miji mingine ikidumaa kimaendeleo
  6. U

    Uamuzi wa kujenga Majengo ya Serikali Dodoma ni Uamuzi wa Kipuuzi, wanaoshangilia ni wajinga

    Uzalendo ni kubana Dar kisha mikoa mingine kukosa maendeleo ❓
  7. U

    Uamuzi wa kujenga Majengo ya Serikali Dodoma ni Uamuzi wa Kipuuzi, wanaoshangilia ni wajinga

    Hayakuwa maamuzi ya hovyo wahamie huko jiji lipumue misafara inakwamisha maendeleo jiji la Dsm lipo pembeni kila mmoja anahamis huko matokeo yake miji mingi inadumaa kukua haraka, Dodoma ipo katikati itaharakisha ukuaji wa maendeleo na kupunguza misongamano jiji Dsm
  8. U

    Mzee Malecela kupokelewa na Haji Manara kiukweli CCM DSM hamjamtendea haki!

    Marehemu aliishi kihuni alikuwa na miaka 60 lakini bado akawa chawa wa Devis mosha
  9. U

    Diwani Athumani Msuya atenguliwa Ikulu

    Kapilimba alitenguliwa semblance yeye Siri zote wamezifuta hana kitu tena
  10. U

    Diwani Athumani Msuya atenguliwa Ikulu

    Siku hizi CDF mkuu mkuu wa majeshi ya Ulinzi na usalama ndiyo mwenyekiti wa jopo la ujasusi na yeye hupata taarifa nyingi na ukumbuke yeye ana ndege za kivita vifaru makombora usimweke level ya IGP na hao wengine
Back
Top Bottom