Recent content by Ushirombomoya

  1. Ushirombomoya

    Uuzaji wa viwanja kwa mfumo wa TAUSI ni kama kuna michezo hivi

    Mfumo wa Tausi kama ukitumika kama ilivyokusudiwa utaleta mabadiliko. Changamoto iliyopo ni ulafi na upigaji kwa waliopewa dhamana, tunarudi kulekule mabwana ardhi kujimilimbikia viwanja. Ukiona kiwanja kipo eneo zuri na bei yake ipo chini jua kabisa wanachukua wao, lakini pia ukiona eneo...
  2. Ushirombomoya

    Uuzaji wa viwanja kwa mfumo wa TAUSI ni kama kuna michezo hivi

    Binafsi nimeliona hilo mara kadhaa, hata mimi pia niliingia kwenye mfumo dakika tano kabla ya mauzo lakini ulipofika muda wa mauzo mtandao ukagoma. Hali hii utokea kwenye viwanja ambavyo watu wanakuwa wanamipango yao tayari, kuthibitisha hilo viwanja hivyo vizuri bei ya uwa inakuwa chini sana...
  3. Ushirombomoya

    Urasimu wa ofisi ya ardhi Dodoma Jiji na mikoa mingine.

    Aksante kwa kunisahihisha ila hicho kitengo cha ardhi kinahitaji mabadiliko, wanajiona kama miungu watu.
  4. Ushirombomoya

    Urasimu wa ofisi ya ardhi Dodoma Jiji na mikoa mingine.

    Binafsi ni mdau wa makazi yaliyopangwa na kupewa matumizi kulingana na mpango wa eneo husika. Kifupi uwa ninahisi kero kupita sehemu ambazo zina ujenzi holela, kwa mantiki hiyo nimekuwa nashawishika kununua maeneo yaliyopimwa. Nilifanikiwa kununua eneo Dodoma (mtumba) na kufanya malipo...
  5. Ushirombomoya

    Makanisa mengi ya kilokole ni kero, niliwahi kuacha kodi ya miezi minne kwasababu ya makelele, nilipoenda kulalamika niliitiwa polisi naleta vurugu

    Kelele zinazalishwa na makanisa ya Walokole na shughuli nyingine za kijamii kutokana na usimamizi mbovu wa taasisi za serikali zilizopewa jukumu la kuzuia kadhia hiyo. Walokole na watu mbalimbali wamekuwa wakipiga/kuzalisha kelele kwakuwa wenye mamlaka ya kuzuia hawajui majukumu yao kabisa...
  6. Ushirombomoya

    KERO Dar: Wananchi wataka DDC ichunguzwe, wadai haitendi haki katika upimaji Viwanja Mbopo na kuna mchezo mchafu

    Mfumo wa ununuzi wa viwanja wa Tausi.Tamisemi naamini una changamoto inayosababishwa na watendaji wake. Kwenye mfumo huu viwanja vizuri vinawekwa kiushaidi tu lakini watu wanakuwa wameshajitwalia mapema. Ukitaka kuamini jaribu kufuatilia matangazo ya viwanja kwenye maeneo mazuri, wanaweza...
  7. Ushirombomoya

    Serikali yasaini mkataba ujenzi Daraja la Jangwani, Sh Bilioni 97.1 kutumika

    Tatizo ni suala la asilimia kumi (ten percent). Ti
  8. Ushirombomoya

    DOKEZO Ubabaishaji wa mfumo wa Tausi. TAMISEMI kwenye ununuzi wa viwanja

    Mfumo wa Tausi, Tamisemi ulipozinduliwa nilifurahi sana maana nilijua utatatua changamoto nyingi ikiwemo ununuzi wa viwanja kwa njia ya kielektroniki Ununuzi wa viwanja umekuwa tangu zamani umekuwa na changamoto nyingi, ikiwemo upotevu wa fedha kutokana na utapeli. Mfumo wa Tausi...
  9. Ushirombomoya

    Lini kutakuwa na Mashindano ya kusoma Biblia kama ilivyokuwa Quran?

    Binafsi ninaamini kuna nguvu kubwa inayotufanya tuwepo Dunia. Ila siamini dini hizi za kidunia ambazo kila kukicha ni malumbano ya juu ya ipi ni bora kuliko nyingine hadi mara nyingine kuleta machafuko. Dini hizi mbili zimezifunga akili za watawaliwa hususani Nchi za Kiafrika na kuleta mpasuko...
  10. Ushirombomoya

    Mahakama ya UAE imewahukumu adhabu ya kifungo cha maisha waislamu wa siasa kali 53 kwa makosa ya ugaidi

    Binafsi ninaamini kuna nguvu inayoendesha dunia tusiyoiona kwa macho ila napinga dini moja kujiona ina haki dhidi ya nyingine hapa naongelea dini hizi za kuletewa ( Uislam = Muarabu na Ukristo= Mrumi).Dini zote ukisoma maandiko ( Biblia na Quran) zina mapungufu. Mfano mdogo agano la kale...
  11. Ushirombomoya

    Sheria za kufungua Baa, nyumba za Ibada ziangaliwe upya

    Kelele za sauti kutoka kwenye mabaa na makanisa hususani ya walokole ni kero kwa wengi si wewe tu. Ila mamlaka husika wanaona na kufumbia macho. Wanasubiri litokee jambo la uvunjifu wa amani ndio wajitokeze wakijibaraghuza kutaka kuchukua hatua, lakini kwa hali inavyoenda ipo siku balaa kubwa...
  12. Ushirombomoya

    Pamoja na wingi wa abiria kwanini Mwendokasi umeshindwa kuongeza mabasi na kuboresha huduma?

    Huu mradi ulianza kufa kabla hata ya kuanza kwasababu ya wakubwa kukosa maono. Kwanza eneo walilolichagua kama karakana ilitosha kueleza mradi ungekufa tu mapema punde tu baaada ya kuanza. Serikali siku zote usema tusijenge mabondeni ila ajabu karakana ikajengwa Jagwani sehemu ambayo uathiriwa...
  13. Ushirombomoya

    Kama CHADEMA hawakuwapitisha Mdee na wenzake kwanini hawafungulii kesi ya kugushi?

    Hao wabunge 19, hawaikomoi chadema hizo hekaheka zao zipo katika kulinda maslahi ya matumbo yao tu. Halima na wenzie wanajua kuwa wakipoteza sifa ya kuwa wanachama basi na ubunge wao utafika kikomo. Kama ulivyosema hawa hawana mapenzi ya dhati na chama, ila naongezea kuwa wanahangaika kulinda...
  14. Ushirombomoya

    Kama CHADEMA hawakuwapitisha Mdee na wenzake kwanini hawafungulii kesi ya kugushi?

    Aksante kwa kujibu vizuri, inasikitisha kuona jamii kubwa ya watanzania wasio na uelewa wa vitu uongea tena kwa kujiamini kweli. Tujifunze kuuliza kabla ya kuanika udhaifu wetu, "forgery" ni kesi ya jinai, wenye jukumu la kufungua kesi ni Jamhuri Chadema walishaeleza kuwa hawazitambui nyaraka...
  15. Ushirombomoya

    Nguvu ya "NENO" katika Dunia na Katika Maisha yako

    Nianze kwa kukupa hongera kwa mchango mzuri wa kujenga, hakika ulichosema ni ukweli japo wapingaji uwa hawakosekani siku zote. Nakubaliana na wewe kuwa "Neno" kwenye ulimwengu wa roho lina nguvu yaani linaweza kushusha au kupandisha ufanisi wa mtu. Ieleweke kwamba hata kwa washirikina hawawezi...
Back
Top Bottom