Recent content by Ushauri nasihi

  1. Ushauri nasihi

    SoC02 Yajue magonjwa ya afya ya akili katika kupata hisia

    Paraphilias Hii ni tatizo ambalo mtu anapata hisia za KIMAPENZI kwa kupitia vitu ambavyo sio binadamu,kwakuumizwa au kuumiza na kwa watoto Aina za paraphilias. 1 fetishistic Hili ni tatizo la kihisia ambalo mtu anapata hisia za KIMAPENZI pale tu kwakutumia vitu ambavyo sio binadamu mfano...
  2. Ushauri nasihi

    SoC02 Jinsi upendo wa mahusiano ya kimapenzi hujengeka

    Upendo ni muunganiko was hisia,akili na tabia Kuna Aina name za upendo 1 hakuna upendo Ni Aina ya mahusiano ya KIMAPENZI ambayo hakuna mtyu anapenda mwezake 2 urafiki Ni Aina ya upendo ambao kunakuwa na ukaribu tu 3 infatuated Ni Aina ya upendo ambao mahusiano yao yanakuwa kwaajili ya...
  3. Ushauri nasihi

    Sitokaa nioe: Hawa wanawake tulioambiwa tuishi nao kwa akili hawafai hata kuishi nao

    Pole Kaka angu naelewa suala Hilo jinsi linavokuumiza usikate tamaa Ni njia tyu ambazo kidogo yawezekana hauna uelewa nazo karibu kwa msaada wa ushauri wakisaikolojia hautajutia kamwe
  4. Ushauri nasihi

    Sitokaa nioe: Hawa wanawake tulioambiwa tuishi nao kwa akili hawafai hata kuishi nao

    Pole Kaka angu naelewa suala Hilo jinsi linavokuumiza usikate tamaa Ni njia tyu ambazo kidogo yawezekana hauna uelewa nazo karibu kwa msaada wa ushauri wakisaikolojia hautajutia kamwe Asante
  5. Ushauri nasihi

    Ushauri: Nioe yupi Kati ya hawa wanawake wawili?

    Pole Sana Kaka kwa mkanganyiko huo nataka nkusaidie kwamba mtu hapimwi kwakuja kwako marakwa Mara mke anapimwa kwa tabia nataka nkupe angalia faida na hasara za wote ndipo uchukue maamuzi yakuwa nae mmoja jiulize swli huyo anaekuja kwako Mara kwa Mara he akipata mchepuko mwingine hawezi kuwa...
  6. Ushauri nasihi

    Nampenda binti wa kitajiri ila ana kiburi, jeuri na dharau. Je, nimuoe?

    P Pole Sana Kaka angu nataka nikufahamishe kwamba mapenzi ya dhati so uchumi,cheo Wala vitu Bali Ni upendo watoto hawatapata Shida ndio lakini watakosa malezi ya upande mmoja ambayo yanaweza kusababishwa kwa kuachana Jambo Hilo litawapatia Shida Sana watoto nakuanza kujilaumu nakukosa misingi...
  7. Ushauri nasihi

    Kuna mdada ni mzuri sana, ila najishangaa sana kwanini sivutiwi nae kimapenzi

    Naweza kukupa ufahamu juu ya Jambo kinachopenda Ni moyo bila kujali mwanamke Ana kitu gani hivo basi pale inapotokea mwanamke anavigezo vyote na hauna hisia naye jitaidi kuzileta hisia zako karibu kwakuwa na uthubutu wakuwa Naye ukibahatika kuwa nae katika mahusiano utagundua faida zake na...
  8. Ushauri nasihi

    Ninawindwa, mniombee...

    Pole Sana Kaka angu inaonekana suala hili linakutatiza Sana nakukupa Shida napenda kukushauri kwamba unayosababu yakuomba muda mkiwa wawili watatu na yeye akiwepo kuweza kuongea naye vizur kuhusu hisia zake kwake kwa HESHIMA zaidi bila kuongelea maneno uliyosikia kwa watu wengine Nadhani...
  9. Ushauri nasihi

    Wa tatu naye kanikataa! Nakosea wapi ndugu zanguni?

    Karibu usaidiwe kisaikolojia zaidi ukiitaji ndoa yenye upendo tunakukaribisha inbox🙏
  10. Ushauri nasihi

    Ni hatua gani za kuchukua iwapo hakuna maelewano kwenye ndoa?

    Karibu kwa ushauri wakitaalamu zaidi hautojutia Asante
  11. Ushauri nasihi

    Unawezaje kuishi na mtu ambaye huna hisia naye?

    Naomba niaze nakusema pole kwa Jambo Hilo unayosababu yakutambua vitu gani vinavopelekea wewe kutokuwa na hisia naye labda kuwa bize kwa mda mrefu kukosa mda wakuwa Nate nakushirikishana Mambo mbalimbali ili uweze kuona manzuri yake kwako na kwake asante
  12. Ushauri nasihi

    Kwanini wanawake wengi ni single mothers?

    Asante naomba kulijibu swali Hilo Kama ifuatavo wasichana wengi wanakosa misimamo kutokana na kipato Cha mwanaume MSICHANA anaweza kuwa na mwanaume ambaye Ni mtulivu kabisa na mwelewa pale anapokutana na mwanaume mwenye vishawishi zaidi asipokuwa na msimamo anabadilisha mawazo nakupelekea sehemu...
  13. Ushauri nasihi

    Je, ni muhimu kusimuliana kila kitu na mwenzio mnapokua katika uhusiano?

    Ah ninayisababu yakujib suala hili Ni kwamba katika mahusiano tunaweza kudimuliana vitu mbalimbali lakin Shida unakuja pale tunaposimuliana vitu ambavo vinakuja kufanyika Kati yetu na kutuletea madhara hivyo basi tunatakiwa kujua faida na hasara kabla yakudimuliana.Asante by mshauri nasihi
  14. Ushauri nasihi

    Nimegundua mdogo wangu ana mahusiano ya kimapenzi na Mpenzi wangu

    Pole Sana Kaka angu bado unanafasi yakutafakari pande zote mbili kwa mdogo ako na mpenzi wako pia maamuzi yako yasilete Shida katik pande mbili Ivo basi unayonafasi yakukaa nakuongea nao kiundani juu ya sual ili naujue wanasemaje juu ya suala Hilo apo ndio utajua nn chakufanya kwamsaada zaidi...
Back
Top Bottom