Kweli kabisa amekosea kutoa siri ya ofisi,mbali na hivyo kama anata kusaidia jaamii yake amwambie muhusika kama kweli ana uhakika na jambo hilo.kama hataacha basi atapunguza spid
Naomben msaada ndugu zangu baba yangu anasumbuliwa na eusophagael tumour kwa anayejua tiba na WAP inapatikana nipo muhimbili baada ya rufaaa za hospital mbalimbali lakini mambo bado hayaeleweki na hali inazidi kuwa mbaya.
Nisaidien jamani.
naomben msaada ndugu yangu anasumbuliwa na eusophagael tumour kwa anayejua tiba na WAP inapatikana nipo muhimbili baada ya rufaaa za hospital mbalimbali lakini mambo bado hayaeleweki na hali inazidi kuwa mbaya.nisaidien jamaan
kwa anayejua eusophagael tumour ni nn na wapi ninaweza kupata matibabu anisaidie jaman.baba yangu kaambiwa kuwa ana tatizo hilo na daktar nimezunguka Naye hospitali nyingi bila mafanikio naishia kupewa rufaa tu nipo muhimbili hapa lkn bado hapaelewek na hali ya mgonjwa inazidi kuwa mbaya...
Naomba msaada wenu tafadhali,nyama za mguu zinaniuma had nashindwa kutembea.ni upande wa nyuma kutoka kwenye goti had kwenye unyayo.tafaaaaaadhali nisaidien tatizo ni nin?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.