Recent content by Uraronichuma

  1. U

    Kwanini Kujiandikisha Kupiga Kura Kumegeuzwa Adhabu?

    Mkuu bora wewe mimi nimekesha kituoni toka juzi mpaka Sasa bado wanaandikishwa eti wenye namba hii nchi hii hawa CCM wanampango mchafu nimeshudia mpaka ngumi leo hapa kituoni
  2. U

    Nyaronyo Kicheere: Kikwete ananichukia bila sababu

    huyu mleta mada ametumia fasihi kufikisha ujumbe na amevaa uhalisia wa yeye ili ujumbe ifike huku akiwakilisha makundi mbalimbali ambayo hayajapata nafasi mkuu
  3. U

    Yaliyojiri katika Uchaguzi wa Udiwani kata 27 na Matokeo - Feb 9, 2014

    kiboriloni Kagoma kachukua tunashangilia kinyama CHADEMA Oyeeeeeeeeee sombetini nako tuko pazuri
  4. U

    Yaliyojiri: Mkutano wa Tundu Lissu, Heche, Munishi na Ndesamburo mjini Moshi

    ndio heche anaongea anaelezea juu dhana kuwa CHADEMA ni chama cha wachaga
  5. U

    Usanii unaofanywa na Mnyika na CHADEMA juu ya swala la Bei za Umeme na Maswala ya tanesco.

    kaka umenena hoja ni kupanda bei kwa hizo nishati na wala sii akina Mbowe mimi hata likitokea jiwe linalopinga bei hii mpya ya nishati naliunga mkono hongera mnyika achana na hawa wala rushwa
  6. U

    Mbowe, Lipumba na Mbatia kutikisa Zanzibar kuhusu Katiba

    Hii ndio siasa niliyokuwa nataka sasa waungane hata 2015 tuwapoteze kabisa chama cha Wachina
  7. U

    Mwigulu Nchemba achaguliwa kuwa m/kiti wa Vyama vya Ukombozi kusini mwa Afrika

    Hakuna kitu wezi leo wanajiita wakombozi
  8. U

    Aibu ya mwaka kwa Mwigulu

    siasa tena kwenye mpira duuh wanasimba tunahujumiwa
Back
Top Bottom