Russia anajiimalisha sana Africa. Pale Mali, Jamhuri ya Congo, Libya, Misri na Sudan anawasumbua sana Mabeberu wa Ulaya Magharibi. Sasa kama ushawishi wake umeimalika Afrika ya Kati na Jamhuri ya Kongo, maana yake mabeberu wa Magharibi wanaona ni rahisi sana Russia kuingia DRC.Kwa hiyo wanaona...
Uko sahihi sana.Mfano Petro Atletico du Luanda wamefika nusu fainali ya CAFCL msimu huu wakiwa na wazungu/Wabrazil na Wareno.Jamaa walikuwa wanakichafua kweli kweli.Suala msingi tuombee asiwe majeruhi wa mara kwa mara.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.