Recent content by uperiti

  1. U

    Tunajifunza nini kwa Botswana kuwa nchi tajiri kuliko nchi nyingine za Afrika?

    Why is Botswana richer than other African countries? Botswana is richer than most other African countries because of 3 basic factors: DIAMONDS At independence, the country had no more than 12km of tarred roads in 1965. It also had less than 10 graduates. The discovery of diamonds changed all...
  2. U

    PreGE2025 Wabunge wa Ubungo na Kimara wajichunguze kama watafaa kugombea 2025

    Ikumbukwe kuwa wakati hayati JPM alipokuwa anazindua daraja la Kijazi Ubungo aliahidi kuanza na ujenzi wa barabara za Kimara lakini mpaka sasa hakuna barabara moja iliyotengenezwa. Ukienda Temeke lami au zege mpaka vichochoroni. Kwa kimara kuna barabara nyingi mbovu sana tena sana ila baadhi ni...
  3. U

    Eneo lililo wazi pembezoni mwa Barabara ya Morogoro linaweza kufanyiwa biashara na likazalisha pesa nyingi kwa serikali

    Je, Waziri wa fedha anahangaika kutafuta kodi wakati eneo hilo la pembezoni mwa barabara ya Morogoro lililo wazi linaweza kufanyiwa biashara na likazalisha pesa nyingi sana kwa serikali? Kwani huyu Daktari wa uchumi hawezi kushauriana na Waziri wa Ujenzi wakawatumia wataalamu wa Mipango miji na...
  4. U

    Loose ends Kifo cha Martha Towo

    Hii kwa asilimia mia moja imeanzia kazini kwa sababu inasemekana alikuwa mhasibu na alifukuzwa kazi. Sasa swali ni kwa nini alifukuzwa kazi? Je, kosa la kumfukuzisha kazi liliwahusu wengine? Je kuna uwezekano hao wengine waliohusika wakatumia mbinu za kumuondoa kuficha ushahidi? Hapa kazi ianzie...
Back
Top Bottom