Recent content by Upepo hauna rangi

  1. U

    Tanganyika yaitwa Tanzania Bara Azam tv!

    Bora hao wanaoita Tanzania bara, kuliko walioipa jina la Kilimanjaro Stars Zanzibar Heroes Kenya Bukinafaso Kilimanjaro Stars ( Ndiyo Nchi gani hii) Kwanini tunaogopa kutamka Tanganyika?
  2. U

    Tetesi: Simba yacharuka, yazitaka saini za Pacome, Aucho Msimbazi!

    Simba siyo jalala la Yanga. Bali Yanga ni jalala la Simba
  3. U

    Watanzania wote tuachaneni na mwandishi huyu Mghana

    Tanzania ni nchi huru, tusipangiane cha kufanya!
  4. U

    Ali Kamwe: tutakwenda Zanzibar kumfuatilia my wetu (Simba)

    Yanga akikua ataacha. Ni utoto tu unawasumbua
  5. U

    Mo dewji: Nimepoteza billion 41 ndani ya Simba

    Jitihada za dhati zinafanyika Kulazimisha tatizo sehemu ambayo haina tatizo. Kupanda kwa Yanga sio lazima umshushe Simba. Kufanikiwa kumshusha adui yako, haimaanishi kuwa wewe ndiyo utakuwa juu.
  6. U

    Awamu ijayo TFF kwa maslahi ya nchi aongoze Hersi

    Bahasha zinaliangamiza Taifa
  7. U

    SIMBA SC, mnaweweseka, mafanikio ya Yanga yatawashangaza mwaka huu

    Kizazi cha GSM hakijisumbui kutafuta record za nyuma!
  8. U

    Simba hamutoweza kutoka hapo mlipo hadi mjifunze kunyamaza

    Labda tujifunze kuzimia baada ya kuingia robo fainali
  9. U

    Ahmed Ally: Robo fainali wamefuzu washamba sembuse sisi

    Piga spana hao. Ashamed Ally ni kesho la Mtu Mmoja!
  10. U

    Saidoo Saidoo dah

    Mbona watu wa Yanga ndiyo wanatumia nguvu kubwa kutuaminisha kuwa Saido ni Mzee na anaighalimu timu? Hayo mnayoyaona ninyi Ina maana Kocha Mkubwa kama Benchika hayaoni? Any way, tufanye Benchika haoni kama mnavyoona nyie, si ndiyo kwenu mngefurahia? Maana anguko la Simba ni furaha kwa Yanga, kwa...
  11. U

    Mpira ni uwekezaji na sio propaganda, Yanga endeleeni kuwaziba midomo wanafiki, mnawajibu kwa vitendo hongereni!

    Mtoto mdogo akijua kusoma na kuandika ni shida ndani ya Nyumba, ataandika ukutani, madirisha, kwenye Magodoro mpaka kwenye mito. Simba imefikia robo fainali mara nne hakuna kiongozi kuzimia uwanjani Wala kuandika mabango barabarani au kufanya sherehe ya kunywa Supu ya vibudu. Kuna msemo wa...
Back
Top Bottom