mi nadhani hilo ndo wanalokosea waccm. wanapaswa kutekeleza ilani yao nchi nzima kwakuwa wao ndo serikali. hayo ndo magepu yanawafanya wanchi wawaone kuwa wameishiwa. cha msingi nikutekeleza yale walioahidi kwa wananchi mana wote tunatoa kodi tena kubwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.