Mtaka yote kwa pupa hukosa yote
Unajua hii siasa baana unakazania kwenda ikulu kwa mgongo wa mwenzio utabaki umbuka bure.. Haya sasa lowassa na mbowe wameishiwa pesa wamebaki kuomba omba hata mia wanaitaka iwasaidie!!!
Hahahah rudimi nyumbani ccm
Mlango upo wazi
Ccm oyee
Magufulii hapa kazi tu
Sijaona cha kushangaa hapo
Kushindwa kwa wengine sio sababu ya magufuli kushindwa
Na hakika anavyovisema atavifanya ni mtu wa kazi
Whether ukubali au ukataye
Hapa kazi tu
Magufuli ndio rais na sera zake atatimiza
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.