Hawa ndio Wafadhili wakuu wa CHADEMA ambao Mbowe hataki kuwataja hadharani

Wataacha wengi kwan panaonekana hapana soko pale ila wafadhil wakuu ni wananchi ambao wataacha kumpgia kura October.....
 
ila malofa hatuna bei na hatuta jitowa ata mkituletea wanamziki wa marekani wote!
 
WAFADHILI WAKUU WA LOWASA KUJITOA.----------------

Mtakumbuka hivi kari buni, Mwenyekiti wa CHADEMA, FREEMAN MBOWE amenukuliwa akisema kuwa chama hicho kina wafadhili watano ambao hatawataja hadharani kwa kuhofia vyombo vya dola kuwafuatilia. Hata hivo baada ya tafiti kuonyesha chama hicho kuwa na ushawishi mdogo kwa- wanainchi,wafadhili wafuatao wameonyesha dalili ya kukataa tamaa kumsaidia Lowasa.

ROSTAM
Huyu ndiye mfadhili namba moja wa CHADEMA kwa sasa. Ufadhili wa Rostam kwa CHADEMA unatokana na uswahiba wake kwa mgombea Urais wa chama hicho, Edward Lowasa. Wawili hawa ni wahanga wa siasa ndani ya CCM na kutokana na jeuri ya pesa waliyokuwanayo ndani ya chama hicho, walidhani kuwa wao ndo kila kitu. Hata walipoambiwa wajivue gamba, Rostam alitii amri ila Lowasa aliendelea kuwa mkaidi kwa kuamini kuwa pengine chama kingelegeza msimamo juu yake. Hata hivo Rostam kaonyesha kukataa tamaa kumsaidia MZEE kwa sasa japo ameshatumia kiasi cha bilioni 100 hadi sasa.

MANJI
Huyu ni mfadhili namba mbili wa CHADEMA ijapokuwa ni mgombea Udiwani kwa tiketi ya CCM kata ya Mbagala Kuu.. Manji mwanzoni alitoa shilingi bilioni 12 kusaidia harakati za Lowasa na wanaojua fedha hizo ni Mbowe na Lowasa tu.

REGINALD
Mengi ametokea kuwa na mahaba na CHADEMA kutokana na sababu za kihistoria na kijiografia. Jukumu alilokabidhiwa Mengi ni kuhakikisha kuwa Media zote hasa zile za marafiki zao zinakuwa na msimamo wa aina moja huku Lowasa akipewa kavareji ya kutosha kuliko wagombea wengine.

KARAMAGI
Naye yupo kwenye hiyo orodha ya Mbowe. Karamagi ndiye aliyetoa milioni 53 kule Geita wakati wa ziara ya Lowasa mkoani humo ili zitumike kuhamasiaha watu waende kwa wingi kumpokea Lowasa. Kilichotokea ni kwamba watu walikula fedha na hawakufanya kama walivyokubaliana. Pia Karamagi mwanzoni alitoa shilingi kama hizo kwenye mikoa ya Shinyanya, Mwanza, Kagera na Simiyu.

Aidha wafadhili kutoka Ujerumani, Uholanzi na Marekani nao kwa sasa wameonyesha nia ya kutaka kusitisha ufadhili wao muda wowote kuanzia sasa, kutokana na hali kuwa ngumu, hata wale wabunge waliotegemea watashinda kwa sasa hali imekuwa tofauti na matarajio yao.

-
 
Najua bado lindi Mtwara, mbeya, arusha, moshi, mwanza, pemba.ngoja tuone kama ataenda hama laa, vinginevyo tukusute tuu
 
Lowasa kifo cha mende sasa daah hatafika kwote huko kashaisha lowasa muda wa kifo cha mende umefika
 
Mtaka yote kwa pupa hukosa yote
Unajua hii siasa baana unakazania kwenda ikulu kwa mgongo wa mwenzio utabaki umbuka bure.. Haya sasa lowassa na mbowe wameishiwa pesa wamebaki kuomba omba hata mia wanaitaka iwasaidie!!!
Hahahah rudimi nyumbani ccm
Mlango upo wazi
Ccm oyee
Magufulii hapa kazi tu
 
WAFADHILI WAKUU WA LOWASA KUJITOA.----------------

Mtakumbuka hivi kari buni, Mwenyekiti wa CHADEMA, FREEMAN MBOWE amenukuliwa akisema kuwa chama hicho kina wafadhili watano ambao hatawataja hadharani kwa kuhofia vyombo vya dola kuwafuatilia. Hata hivo baada ya tafiti kuonyesha chama hicho kuwa na ushawishi mdogo kwa- wanainchi,wafadhili wafuatao wameonyesha dalili ya kukataa tamaa kumsaidia Lowasa.

ROSTAM
Huyu ndiye mfadhili namba moja wa CHADEMA kwa sasa. Ufadhili wa Rostam kwa CHADEMA unatokana na uswahiba wake kwa mgombea Urais wa chama hicho, Edward Lowasa. Wawili hawa ni wahanga wa siasa ndani ya CCM na kutokana na jeuri ya pesa waliyokuwanayo ndani ya chama hicho, walidhani kuwa wao ndo kila kitu. Hata walipoambiwa wajivue gamba, Rostam alitii amri ila Lowasa aliendelea kuwa mkaidi kwa kuamini kuwa pengine chama kingelegeza msimamo juu yake. Hata hivo Rostam kaonyesha kukataa tamaa kumsaidia MZEE kwa sasa japo ameshatumia kiasi cha bilioni 100 hadi sasa.

MANJI
Huyu ni mfadhili namba mbili wa CHADEMA ijapokuwa ni mgombea Udiwani kwa tiketi ya CCM kata ya Mbagala Kuu.. Manji mwanzoni alitoa shilingi bilioni 12 kusaidia harakati za Lowasa na wanaojua fedha hizo ni Mbowe na Lowasa tu.

REGINALD
Mengi ametokea kuwa na mahaba na CHADEMA kutokana na sababu za kihistoria na kijiografia. Jukumu alilokabidhiwa Mengi ni kuhakikisha kuwa Media zote hasa zile za marafiki zao zinakuwa na msimamo wa aina moja huku Lowasa akipewa kavareji ya kutosha kuliko wagombea wengine.

KARAMAGI
Naye yupo kwenye hiyo orodha ya Mbowe. Karamagi ndiye aliyetoa milioni 53 kule Geita wakati wa ziara ya Lowasa mkoani humo ili zitumike kuhamasiaha watu waende kwa wingi kumpokea Lowasa. Kilichotokea ni kwamba watu walikula fedha na hawakufanya kama walivyokubaliana. Pia Karamagi mwanzoni alitoa shilingi kama hizo kwenye mikoa ya Shinyanya, Mwanza, Kagera na Simiyu.

Aidha wafadhili kutoka Ujerumani, Uholanzi na Marekani nao kwa sasa wameonyesha nia ya kutaka kusitisha ufadhili wao muda wowote kuanzia sasa, kutokana na hali kuwa ngumu, hata wale wabunge waliotegemea watashinda kwa sasa hali imekuwa tofauti na matarajio yao.

-

Kazi ishaisha wakuu
mzee anafanya kama ya stand ya chato

Kwanza nani amchangie fisadi

Ningekuwa mm mtoto wa magufuli ningeanza kutanguliza mizigo
Kuwahi kile chumba kinachoface baharini
 
Wewe ni mwongo wala usitake kutudanganya, Yusuf Manji na Lowassa hawapikiki chungu kimoja
 
Wewe ni mwongo wala usitake kutudanganya, Yusuf Manji na Lowassa hawapikiki chungu kimoja
Kwani Lowassa na Kubenea, Mengi na Rostam waliwahi kuwa marafiki? Leo? Hoja yako mfu, kwenye siasa hakuna rafiki au adui wa kudumu. Alichokielea reuters ni sahihi kabisa.
 
Sitashangaa UKAWA wakiishiwa fedha maana hawakusanyi
kodi ya watanzania na kufanyia kampeni,wenye hazina ya taifa
wauza meno ya tembo,wasafirishaji wa madawa sitegemei wapungukiwe fedha
ila hatuchagui fedha tunachagua mabadiliko

Na naona mmeanza kula matapishi yenu
maana mlisema amepewa fedha nyingi sana atazilipaje?
sasa kama mmeanza kusema ameishiwa,hii inatudhibitishia
kuwa mnatulisha uongo na tumeishawashtukia.
 
Back
Top Bottom