Kama miujiza ingekuwa jambo la kujiamuria,ningeamuru mara moja mimi Upendo Furaha Peneza niwe mwanachama wa TANU YOUTH LEAGUE. Niwe miongoni mwa kina Nyerere,Sykes,Kawawa nk nishiriki agenda nzito nzito za namna ya kumuondoa kupe,beberu,kabaila,mwizi na mnyonyaji mkoloni. Najua ningepangiwa...