Recent content by Unyangwe

  1. U

    JamiiForums Tanzania Heche ametweet kuwa hali ya usalama wa Lissu huko Ukonga, Serikali itawajibika. Je, kapatwa na nini?

    Inatia uchungu Sana Kwa uonevu huu Kwa lissu,madaraka ya kisiasa yanatumika vibaya kuwatesa WAZALENDO waovu CCM dhidi ya watetezi WA wananchi na umaskini, ,mateso,utawala huu hakika NI WA hovyooooo
  2. U

    JamiiForums Tanzania GE2025 Rais Samia kuitetemesha Dunia Kesho

    Nonsense big bogus treat chief mangungo bogus treat
  3. U

    JamiiForums Tanzania GE2025 Bulaya, Esther Mathiko washindwa kung'ara kura za maoni

    Wakomee na umalaya wao,umalaya🎒😁😁😁😁😁😁😁🤪🤪🤪🤪🤪🤪👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹☠️☠️☠️☠️☠️☠️☠️☠️☠️💀💀💀💀💀💀💀💀💀💀💀💀💀💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😄😄😄😄😄😄😄😄😄
  4. U

    JamiiForums Tanzania Katika kitu ambacho naona si cha kufumbiwa macho ni Mapusha, wanajulikana walipo muda wowote, Shida inakuja wapi kuwaondoa mitaani?

    Wapi wengi mapusha kila mtaa ,polisi wanakwemda kuchukua hela Tu ,kila mara
  5. U

    JamiiForums Tanzania Picha: Waumini wa Ufufuo na Uzima wakiendelea na Ibada kwenye Ukumbi wa Kanisa Katoliki leo hii

    Walaaniwe wote wanae mkufuru mungu Kwa kuzuiwa ufalme wake,mwanakondoo ameshinda
  6. U

    JamiiForums Tanzania Tahadhari: Mzee wa Msoga kuna siku utazomewa

    Mhuni kama alivyosema pole pole ,kikwete wewe NI mungu nini ? Mbona unatutesa watanzania namna hii,mungu WA kweli anakuona na tabia zako tumekuchoka Sana na tuombe mungu hakuchukue mara moja
  7. U

    JamiiForums Tanzania GE2025 Afande Muliro: No Reforms No Election haipo kisheria, haiwezekani kabisa

    Je Oktoba tunatiki ipo kisheria? Je, wewe ni msemaji WA CCM katibu mwenezi, Je ni kosa la jinai watu kudai HAKi ya kikatiba kuwa na reforms na kupigwa kura? Mzee muogope mungu na teknolojia
  8. U

    JamiiForums Tanzania Kauli ya Tundu Lissu kwamba hayati Magufuli alisingiziwa mengi inazidi kujidhihirisha

    Mbowe ,nakuita mara tatu,mbowe,mbowe,mbowe,hakika umetuchelewesha Sana Sisi wapinzani ,kumbe ulikuwa mchana chadema usiku CCM,duh hatari,sasa umekuwa CCM mchana usiku chadema ,umekwisha Mzee legacy yoooote kwisha.kujenga legacy NI ngumu Sana,lakini kuibomoa ni rahisi Sana kama kunywa konyagi kiruuu
  9. U

    JamiiForums Tanzania Padri Kitima: Ali Kibao amekamatwa kwenye halaiki mchana, wanasema tunyamaze? Uovu lazima tuukemee!

    Kichwa chake Tu kinasadifu akili Yake kuwa mbowe kichwan butu
  10. U

    JamiiForums Tanzania Rais Samia kaonesha udhaifu kwenye uongozi kushambulia wanaharakati kutoka Kenya

    Wakati ni ukuta ,sa100 utaondoja ktk cheo tu 2030 sio mbali nchi ni yetu wananchi sio ya familia tambua hivyo
  11. U

    JamiiForums Tanzania Rais Samia kaonesha udhaifu kwenye uongozi kushambulia wanaharakati kutoka Kenya

    Hatari kubwa kwa ustawi wa kimataifa na nchi kwa ujumla, na demokrasia yetu ipo ktk mkwamo mkuu haki ya kutoa,maoni yenye mrengo Hasi ,kesi za kumbakizia kwa wakosoaji ,serikali.kwa Nini serikali inatumia nguvu kuziba midomo wapinzani??? Kuwanunua wapinzani haki haijawahi kushindwa na uovu
  12. U

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Kesi ya Lissu: Jaji Mkuu Mstaafu wa Kenya Willy Mutunga ashikiliwa uwanja wa Nyerere. Polisi waonekana Kisutu

    Uovu,udikiteta umekomaa Sasa kwa hiyo tunatawaliw
  13. U

    JamiiForums Tanzania Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

    Tanzania ya Samia,ccm ya samia
Back
Top Bottom