kwa upande wangu mimi
kila mmoja ni mzuri kwa sehemu
ila huyu wa sasa amekaza sana
lakin pia mazingira yaliopo si mazuri kwa kwake
mpaka bei ya unga kilo moja inakuwa ni kubwa kuliko bei petrol sasa ndo uone maskin anavyolala njaa na tajir anavyoendesha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.