Hata Timu ya Mpira iliipate Mashabiki Wengi ni lazima wawe na Wachezaji Wazuri wenye vipaji haswaa na ubunifu wa kipekee, Clouds Media kiujumla Wamelipa kipaumbele swala hilo kwa kusajil Watangazaji Mashuhuri Wanaopendwa na Watu kwa utashi wao. Kwa Tanzania redio pendwa ni Clouds FM Leo hii...
Hiyo hali imewahi kunitokea Mimi mbaya Zaidi yule Dada tulikuwa na Mahusiano lakin Tupo Mbali mbali siku nakuja kukutananae aliniambukiza kisonono iliniuma sana, Nikaenda hospital nikatibiwa na yeye nilimwambia akenda kutibiwa sasa hapo ndipo ilibidi anieleze ukweli wote ,akakiri Ni kweli...
Mimi mbona Kaniambia Mwenyewe Maana Tulikuwa Na mahusiano Mwanzoni baadae tukapotezana nilikuwa Masomoni Chuo,Alichodai yeye iliharibika Mimba na kwa sasa ana shida ya kupata hedhi Mara kuna uchafu wa Mabonge huwa yanamtoka
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.