Salaam wakuu,
Kuna njama haramu zinasukwa na Mkuu mmoja wa Mkoa dhidi ya viongozi wenzake na hivyo kujenga hofu juu ya usalama wa watumishi hawa.
Njama hizo za kuwadhuru Wakuu wa Wilaya 3 za Mkoa ‘Mkubwa’ (majina kapuni) zinadaiwa kuendeshwa na Mkuu wa Mkoa huo na kundi lake linaloratibiwa kwa...
Usahihi zaidi:
Kwa bajeti hiyo ya $800 (yaani Tsh 1,600,000/-) nilikosa nyumba niliyohitaji hadi nilipojisogeza zaidi hadi kufikisha 2m per month na wanalazimisha utoe mwaka!
Hali halisi:
Soko la nyumba maeneo haya nimebaini limezungukwa na madalali na wenye nyumba bado wanakomaa kutoza kodi...
Wakuu,
Leo Mawakili wa Serikali kwenye kesi ya Lema wamewasilisha Rufaa ya kuipinga Rufaa hiyo hivyo kisheria inabidi wasikilizwe wao kwanza.
Kwa maana hiyo, ruling ya rufaa ya Lema itatolewa tarehe 04 Januari 2017.
Lema karudishwa rumande.
Mkuu,
Ujue nilishapanga room 1, enzi hizo nikilipia 15,000/- kwa mwezi.
Maisha yanabadilika, na unaona hata kwa hela hiyo unayodhani ni kubwa bado sipati nyumba sahihi. Manake wananitaka nitoe zaidi ya 2,000,000 kwa mwezi ndo angalau nifikie viwango vyao
Sijapata mkuu wangu. Nazungushwa kwenye nyumba zipo location za ajabu tu.
Madalali ninaounganishwa nao wanakupeleka nyumba wanakwambia $2,500 per month, baada ya siku 4 wanakwambia imeshuka ni $1,500 na hata wanakuwa wamemwandaa landlord anasimamia same figure hataki kusikia kitu.
Wanakatisha...
Ni habari za kusikitisha kwa familia ya JamiiForums kwa ujumla wake.
Inadaiwa marehemu Dena Amsi amefariki jana baada ya kuugua kwa siku kadhaa.
Taarifa za kina juu ya nini kilitokea na msiba upo wapi zitafuatia.
Mwenyezi Mungu amsamehe dhambi zake na kumjalia pumziko la milele.
R.I.P Dena...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.