Nikitafuta financially stable man simaanishi nataka kuondokana na umaskini wangu kupitia yeye, ila ninaepuka wanaume wanaotegemea wanawake kukamilisha mambo yao.
Sina kadi ya chama Cha mapinduzi.
Nina B+ ya Mathematics O level.
Chapati za kusukuma nimejifunza ila bado sijazipatia kuzipika lakini vyakula vingine eg Pilau, la kwangu ni tamu hujawahi kula ever in your life. Maagizo nisiyoyapenda naweza kuyatimiza lakini yawe yanamake sense in my head...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.