Tangu Rais Kikwete ameingia madarakani amekuwa akipenda sana kuongea na wazee wa Dar, Dodoma na Mwanza lakini hajawahi kuwaita vijana na kuzungumza nao.
Je, anawapenda wazee kwa kuwa ni watiifu kwa CCM?. Je vijana hawana haki ya kuzungumza na Rais wao au ni uoga wake kwa kuwa vijana wengi...
Chadema imeigaragaza CCM katika uchaguzi wa serikali ya kijiji cha kaseke mkoa wa kigoma jimbo la kigoma kusini kwa Kafulira uliokuwa na upinzani mkali kiasi cha wanakijiji kukesha wakisubili matokeo yaliyotolewa asubuhi saa tano CHADEMA 1256 CCM 900, viva Chadema, viva UKAWA
kwa wale 1st year tuliopangiwa udsm PM namba yako tufahamiane mapema, mimi nimechaguliwa College ya COSS main campus, pia tuwasaidie wenzetu Continuing Students kuwabeba maana nimekuta gharama za kupanga room Maeneo ya karibu na chuo ni kubwa sana ni kati ya 80000-150000 kwa mwezi nilitaka...
akichangia juu ya muundo namaudhui ya rasimu, ametoa ufafanuzi kuwa kuijadili rasimu hii inahitaji elimu na weredi wa hali juu sana kwa wajumbe vinginevyo watakwama na kupotea kabisa...umeeleza vizuri sana juu ya uimara wa muundowa serikali 3 hasa kimfumo na kimuuondo...umemtetea mzee wetu...
Dani Naftari naemjua mimi mkurugenzi wa fedha wa sasa hapo BAVICHA au mwingine...huyo jamaa namfahamu sana maneno mengi sana utendaji zero...hafai kabisa hapo BAVICHA mkimuweka BAVICHA inakufa
Tangu mchakato wa katiba umeanza IPP-Media kupitia vyombo vyake vya ITV, Radio One, Capital Radio na EATV kupitia kipindicha HOTMIX vimekuwa karibu kabisa kutuhabalisha juu ya mchakato huu mzima...
Ni vyombo vinavyoonesha midahalo, mahojiano na habari zote za mchakato wa katiba...media nyingine...
watanzania waliojibu swali la kipima joto la ITV lililohoji "Je kususia bunge la katiba ni njia bora ya kutupatia katiba bora?" wamejibu hivi 74% wanesema NDIO 21% wasema HAPANA na 5% wamesema hawajui...my take watanzania inaonekana wanaiunga mkono sana UKAWA
Habari wana jamvi jF Napenda kutoa taarifa kwa uongozi wa chadema taifa kuutazama kwa umakini wa hali ya juu na kwa jicho la tatu uchaguzi wa ndani ya chama hapa Kigoma hasa hapa Kigoma Mjini na jimbo la Kigoma kaskazin.
Hii ni kutokana na mkakati kabambe...
Kwenye mdahalo wa ITV Wasira amesema muundo uliopendekezwa na tume hauna uhalali kwa kuwa maoni 8,000 kati ya 17,000 waliochangia juu ya muundo wa muungano yalitoka KIGOMA.
Wassira atambue kuwa kwanza ameonesha chuki na ubaguzi juu yetu wana wa LEKA DUTIGITE.Kwa mtazamo wake haoni kama...
Nimateso, udhalilishaji, uonevu, kukosa utu, kutokujari wasomi...sisi wanafunzi wa vyuo vikuu tunanyanyasika sana huku mtaani.Tunaishi kwa shida na taabu jaman mtuhurumie...niwiki ya 3 sasa hatujui hatma yetu huku FIELD...jumatano wanafunzi wote tumepanga maandamano ya kudai haki yetu au...
UDSM, DUCE, MUCE, wasainishwa ili wasigome na wameondoka huku wengine wakikwama dar kwa kukosa nauli.Baadhi ya kozi wameanza field leo ila hakuna pesa...poleni sana vijana wetu hii ndio serikali yetu sikivu sijui mtafanyaje field zenu...Mungu awasaidie.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.