Naomba kuelekezwa namna ya kutumia jamii forum kwenye PC, napata wakati mgumu kuandika kwa simu. Yeyote alie na ufahamu anielekeze hatua kwa hatua. Ni hayo tu waungwana...
Kwema wadau wa jf.
Nashukuru kuwa miongoni mwa watu wanaonufaika na uwanja bora kabisa wa fikra pevu za watanzania wenye nia njema na taifa lao na wachache wenye nia mbaya na bila kusahau group la watu wenye kuchalenji mambo mbalimbali. Kwa kweli jf ni sehemu ya maisha yangu na pengine niseme...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.