CCM wana macho sana sana wanajua kuona Nani anafaa kwa wakati gani katika hao wote tajwa naona wananafasi labda watatu tu.
1. Simbachawene sababu Ana utulivu huwa hakurupuki.
2. Namuona Naibu waziri Uchukuzi David Kihenzile Ana uwezo mkubwa ndani ya Mda mfupi Bunge kaendeshe vyema kapewa...
Moja ya vijana wenyr akili kubwa ambao Taifa leti limepata ni huyu Kihenzile. Binafas tangu ameingia nimeanza hata kuipenda hii wiraza. Anajitahid sana kutueleleza kwa kina kinachoendeleq kwenye sekta yake. Miaka yote nilkuwa napata mashaka na hizi hoja za CAG juu ya tofuatu za bei. Nashukuru...
Ufafanuzi mzuri sana na nimemuelewa naibu waziri hakika ni uwelewa wa hali ya juu sana hata watu wenye uwelewa mdogo sana wameelewa yaani ni facts sana
Gharama za ujenzi wa hiz reli aliziweka Magufuli alipoingia Mwaka 2016. Akasema lot 3 itajengwa kwa dola milion 4.8 kwa kilometa moja na lot 4 itajengwa kwa dola milion 4.9 kwa km moja. Mama akaingia akaona hapana hii pesa kubwa sana hebu wataalam punguzeni, wakachekecha mpaka ikafika dola...
Mwandishi ni mtu mwenye credentials zake sio mzee wa buku tatu humu kusifia ama kuponda. Ukisoma hapo chin amejieleza ni mjeshi, habari maelezo etc. Acha roho mbaya kusema sema watu
Vijana wa ufipa nyie kila kijana wa CCM ni kumchafua tuu. Hata mfanyaje Kihenzile anajiuza mwenyewe. Peleken mgombea wenu pale jimbon 2025 muone moto. Jamas is so visionary, babarabara zilizokuwa kero sana zimeanza kujengwa ukiacha miradi mikubwa ya maji igowole, Mgololo,Malangali
Mimi nampongeza sana kwa kuhuisha Redcross kwan saivi kila kona unaisikia. Ila asibweteke kma vijana wenzake ambao wakishaanza sifiwa wanavmbewa. Aendelee kuhituma.
Huyu Mbunge simfahamu huko nyuma ila nilianza mfuatilia sana alipoanza kujenga hoja kwa ajili ya Watendaji Kata Vijiji na Maafisa Tarafa. Kwa kweli hapo ndio nikaanza kufuatilia na Bunge.
Wakati wabunge wenzake wanapigania walipwe mishahara kwa dola yeye anawatazama watumishi wa tabaka la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.