Recent content by Undu

  1. U

    Balozi Nchimbi: Kikokotoo ni kero kubwa, nitamfikishia taarifa Rais Samia

    Ccm ya imewafanyia kitu mbaya Sana wastaff.
  2. U

    Mbunge wa Viti Maalum, Neema Mwandabila: Naona Kikokotoo kinawaweka Wastaafu katika hali nzuri

    Serikali imechokwa tubafili Chama lkije kingine tuone uwezo wao kufikiri juu ya kikokotoo na kupanda kwa gharama za maisha.
  3. U

    Nini kimefanya bunge lipoteze mvuto?

    Ni heri bunge la Samweli sita na Anna Makinda walitujali.
  4. U

    Unajiandaaje na magonjwa yanayotokea kwa sababu ya umri kuwa mkubwa?

    Hakuna madactari wenye ulewa wa Tina nchini.Mgonjwa ansumbuliwa pressure na stroke wanampeleka kwa dactari wa moyo badala wampeke kwa Neurology.Pia Neurology haijakaa saws Tanzania.
  5. U

    CHADEMA chukueni kikotoo kama agenda muhimu ya uchaguzi

    Kosa kubwa lilikuwa wabunge wenye akili kubwa kutorudi bungeni kama mchungaji mdsigwa,lema wa Arusha,Tindu lisu singida,mbowe Hai,Mbilinyi wa mbeya .Ingizeni wabunge wenye upeo mpana bungeni.
  6. U

    Wabunge ndio nyinyi mliopitisha hiki Kikokotoo acheni kukwepa lawama

    Utawala ulukuwa wa Rais mkapa na Rais Kikwete. Walikuwa na huruma kwa watumishi wa umma.
  7. U

    Ukiwa mtumishi wa umma hakikisha kila wiki unatengeneza fedha sawa na mshahara wako wa mwezi mmoja

    Serikali Haina muda na watumishi wa umma.Mugufuri ndiye aliye waharibia maisha kwa kutowapandishia mishahara wakati wote wa utawala Wake wa kutofuata katiba ya nchi.
  8. U

    Amos Makalla: Nimezaliwa Ocean Road, Baba Polisi, Mama Polisi

    He sisi tuliozaliwa Nanjilinji tunaweza pata nafasi ya ungozi?
  9. U

    Kanali mstaafu wa JWTZ analipwa Pensheni 22,000/= na Jenerali analipwa 50,000/=

    Hatari sana kwa usalama wa nchi yetu.
  10. U

    Kutokana na mabadiliko ya kiutawala Arusha, serikali ikae makini ili jamaa asisababishe wazungu wakatoa travel advisory kwa raia wao

    Wamtoe haraka asije sababisha maandamano na vurugu kubwa huko Arusha.Apangwe Tabora.
  11. U

    Kwani Zanzibar wanawachukuliaje watu wa Bara?

    Uchaguzi ufanyike haraks viongozi wa kulinda nchi wapatikane
  12. U

    Serikali kutolipa mishahara watumishi kwa kisingizio cha kutojaza majukumu yao kwenye mfumo wa ESS ni unyang'anyi usiotumia Silaha

    Mi kama aliyejenga vituo vya mwrndokadi hakufikiria kama mabus Yale watapanda wazee na wslemavu.Ni mwendo wa wenye nguv tu.
  13. U

    Alichobakiza Mbowe sasa hivi ni kupotosha na kugombanisha serikali na wananchi, hana lingine

    Watanzania waneaiacha chi Yao nzuri wacache wafaidi.
Back
Top Bottom