Hakuna madactari wenye ulewa wa Tina nchini.Mgonjwa ansumbuliwa pressure na stroke wanampeleka kwa dactari wa moyo badala wampeke kwa Neurology.Pia Neurology haijakaa saws Tanzania.
Kosa kubwa lilikuwa wabunge wenye akili kubwa kutorudi bungeni kama mchungaji mdsigwa,lema wa Arusha,Tindu lisu singida,mbowe Hai,Mbilinyi wa mbeya .Ingizeni wabunge wenye upeo mpana bungeni.
Serikali Haina muda na watumishi wa umma.Mugufuri ndiye aliye waharibia maisha kwa kutowapandishia mishahara wakati wote wa utawala Wake wa kutofuata katiba ya nchi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.