Me mwenyewe nilikwisha pata mpaka asilimia Na za kuongeza nimeongeza Na usajili nlikwisha maliza but Leo status yangu ndo kama ivyo (not allocated)...don't know what is going on)
Habar zenu wadau....
Nimekua nikisikia kuwa mtu ukisoma kozi ya bachelor of science in biotechnology and laboratory sciences(inayotolewa SUA) unaweza kuja kusomea medicine doctor mbeleni..
Je hili Jambo ni la kweli ???
Nashkur mkuu maana nmetemwa first selection sa kozi zmebak za ajabu Na siwezi kuhairisha mwaka sa nkawa nmewaza niende tu chuo ntabadilishaga faculty huko
Nauliza kama kuna uwezekano wa kuhama faculty unapokua tayar selected kwenye chuo fulani kama unavigezo vya Hiyo faculty nyingine....sanasana kwa kwa chuo cha SUA
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.