Recent content by uncle mjomba

  1. uncle mjomba

    Tahadhari: Sakata la Sheikh Ponda lisifanyiwe siasa!

    we hamida kuna acyekufaham humu ndani kwa kushabikia vitu visivyo na msingi vyombo vya dola vipo chini ya serikali ukilijua hilo utajua baraka za kupiga risas znatoka wapi najua unayajua haya sema unatumwa kama paka anavyotumwa kuroga.
  2. uncle mjomba

    Jaji atoa Somo la UGAIDI kwa DPP na Wanasiasa

    ninyi CCM mnamwagiana tindikali wenyewe ili kutafuta kesi za kuwabambikiza chadema lakin Mungu yu pamoja nasi CDM tutafika mbali tu. Ninyi uwaneni kwan mlimtaka kumuua Mwakyembe mbunge wenu sembuse hao wadogo.
  3. uncle mjomba

    Mwigulu Awaonya Wanaoshabikia CHADEMA Iramba

    kwanza Mwigulu anawaita wana iramba dar es salaam km wana iramba wana akili asingejitokeza hata mmoja kwani iramba iko Urafiki?? Mwigulu ni mbunge wa iramba mwenye makazi yake Dar ndio maana anatoa kauli za ajabu akiamini watu wanayaona ayafanyayo na kaamua kuwaita wana iramba kaangalia upepo...
  4. uncle mjomba

    Mwigulu Awaonya Wanaoshabikia CHADEMA Iramba

    kwanza Mwigulu anawaita wana iramba dar es salaam km wana iramba wana akili asinhejitokeza hata mmoja kwani iramba iko Urafiki?? Mwigulu ni mbunge wa iramba mwenye makazi yake Dar ndio maana anatoa kauli za ajabu akiamini watu wanayaona ayafanyayo na kaamua kuwaita wana iramba kaangalia upepo...
  5. uncle mjomba

    Azzan: Nitajiuzulu ikibainika nauza dawa za kulevya

    hivi we hufkirii we kaa fanya kaz za maendeleo uone km utaendelea unaotakiwa kufanya nao kazi ndo wameathirika na madawa hata barua isingekuja serikali ya CCM haina maana ndo wanahusika moja kwa moja
  6. uncle mjomba

    Azzan: Nitajiuzulu ikibainika nauza dawa za kulevya

    we lizabon acha kujidai we ndo msemaji wa polisi nawe umo nini km unapewa hela sema, unakuwa km huoni kwel Tanzania ujinga unaletwa na ninyi msio na akili ya kujiongeza unapewa hela unafurah unatetea km we ndo Nape!!
  7. uncle mjomba

    Azzan: Nitajiuzulu ikibainika nauza dawa za kulevya

    wewe huna akil uuzaji wa unga unafananisha na usagaji?? unajua madhara ya unga wewe usagaji na ushoga ni masuala ya binafsi ndio ila madawa ya kulevya ndo yanatumika kuua kuiba na yanatesa innocent people
  8. uncle mjomba

    Azzan: Nitajiuzulu ikibainika nauza dawa za kulevya

    serikali inaongozwa na chama gani?? hao ndo wenye mamlaka ya kuzuia hili lakin ndo wanaotajwa kusambaza huo unga CCM wauza unga we angalia mali walzonazo kuna watu wanamiliki nusu ya bajet ya nchi
  9. uncle mjomba

    Azzan: Nitajiuzulu ikibainika nauza dawa za kulevya

    jeshi lenu jeshi gani kama upelelez ungefanywa mapema kabla unga haujafika kote huko acheni ujinga wauza unga ndo hao hao. anamiliki vitu vya gharama kwa hela gan?? amka wewe toa tongo tongo machon
  10. uncle mjomba

    Azzan: Nitajiuzulu ikibainika nauza dawa za kulevya

    kwa jinc mnavyowasakama chadema mngeshakamata km kwel wanafanya hiyo biashara CCM czan kwa madawa km kuna ataepona hiv kwanza na akil yako ungejiulza serikali hii ni ya chama gan na unga unaingiaje ujue chama serikali dhaifu ndo inaruhusu huo unga kupita hata uwe wa mbowe au wa slaa CCM WAUZA...
  11. uncle mjomba

    PICHA: Henry Kilewo akiwa ndani ya pingu na vijana wengine kwa tuhuma za ugaidi

    Henry Kilewo Mungu akupe ujasiri ukweli ukapate kusimama ni njama tu ya CCM ya kusahahulisha mabomu ya Arusha tunakuombea c vita yetu si ya damu na nyama
  12. uncle mjomba

    PICHA: Henry Kilewo akiwa ndani ya pingu na vijana wengine kwa tuhuma za ugaidi

    mwanangu unalipwa kinoma kwa kushabikia CCM lakin poa huna elimu ufanyeje sasa. CCM wenyewe kwa wenyewe mnauana mnatshiana maisha mara muwekeane sumu kumbuka yalowapata mwakyembe na mwandosya ndo mshindwe kummwagia mwenzenu tindikali!!?? kwa hili mmeshndwa tafuten au fufueni kosa lingine ILA...
  13. uncle mjomba

    Wabunge (CHADEMA): Chama kwanza utaifa baadae

    wewe huna akili unachukulia kuwakilishwa ni kupeleka hoja bungen mkazpge danadana sababu wapinzani wapo wachache. lazma kama mbunge ushiriki katika shughuli za kijamii wako matured ndo maana wanaona bora wakaendelee kuwatumikia wananchi kuliko kukaa bungeni kubshana na majitu yacyo na akili
  14. uncle mjomba

    Wabunge (CHADEMA): Chama kwanza utaifa baadae

    how can they represent you while there are other people suffering?? do u know how to represent?? u will continue making conversation while people are dying u can't b serious dick head!! go to hell and ---- urself
  15. uncle mjomba

    Naanza kuamini yalosemwa hapo zamani kuhusu Lema.

    hamna tatzo Lema ni janga la wala rushwa wauaji na wadhulumaji ardhi za watanzania we HAMY D hivi una akil kwel unataka nan aje akusaidie kuikomboa nchi yako inaezekana huna elimu hata kidogo dats y unarely kwenye ushabik sio reality Lema ni chaguo la wengi na chaguo la wengi ni chaguo la Mungu...
Back
Top Bottom