Hakuna taifa ambalo halina wazee,vijana huongozwa na tamaa na wazee huongozwa na hekima,Mimi ni ccm lakini sioni alipokosea Mzee warioba,usingekuwa mtu wa kutaka sifa ungemuelewa
We una shida sana,kwani Kila mtu anapenda ndege, Mimi mfano sipendi ndege Wala boti ingawa ninapesa ya kupanda hivyo vitu,kingine mkuu kwanini unqsaport haya mambo,labda tu uwe upande wao,hakuna binaadamu anaewapenda mbu,maana Wana wadhuru binaadamu wote,sasa we mwenzetu kulikoni? Tulionee hili...
Hizi issue hizi zinakaaga kimchongo mchongo sana,siyo ka natetea,hapana ila Kuna wazazi ambao akili zao wakati mwingine husingizia walimu matendo haya kama kisasi baada ya kutofautiana kimtazamo au kwa jambo lolote na shule,na ukichunguza sana utakuta ni single mothers wengi ndo wenye matatizo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.