Chek8 na uwekezaji mwingine pia maana hata mambo ya stock na kama forex tu au cryptocurrency,muda wowote soko linashuka kulingana na idadi ya wawekezaji na demand
Cheki pension trust zinazoaminika na zenye consistent nzuri juu ya masuala ya retirement funds(policy)
Maana yake Nini,ni kuwa hizi...
Let say idadi ya watu 67 millions(according to 2022 census increasd by 2.96%)
Idadi ya makazi(taxable) 12millions
Kiasi kilichoongezwa tzs 500
Kwahiyo
Tzs 500 x 12 million= 6 billions
Lengo la mwalimu 7likuwa zanzibar itambulike kama mkoa mmojawapo wa Tanzania lakini mchakato ukawa na upinzani wa chini kwa chini kwa wazanzibar kukataa nchi kuwa mkoa au jimbo
Lengo jingine ilikuwa ni kuimiliki sehemu kubwa ya bahari ya hindi iwe mali ya bara pia(hapa hadi sasa faida ipo nzuri tu)
Watu hawajamwelewa mtoa mada hata kidogo
Unasema mpe hela mpe hela, niulize je inamaana muda wote huo wa mwezi wa zoezi la tabasamu utakuwa hutoi matumizi? Jibu ni hapana
Je unapotabasamu unafanya hivyo bila sababu ya msingi? Jibu ni hapana
Wapo mnaosema kuishi na m2anamke kwa akili , lakini...
Spotify imekuwa mwiba kwa wasanii siku hizi yaani hamna maokoto ni ubepari tu mwenye nacho ndio anapewa kama hauna hata ulichodhani cha kwako kinachukuliwa
Kama huyo mchumba an miaka 30 maana yake una 43 hapo unaweza kuoa
Ila kama yuko chini ya 25 na unamzidi 13yrs pitia tena baraza la mashauri humo kichwani kwako
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.