Wanacho fanyiwa wapinzani nifedheha kubwa sana kwa jeshi letu la polisi, nimeona jinsi wafuasi wa Cdm walicho fanyiwa leo. Kesho itakua zaidi tujiandae kushuhudia maiti za wafuasi wa chadema. Nimeona jinsi polisi walivyo kusanywa kwa kazi maalumu. Yangu macho
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.