Mtoa maada unajua maana ya Maswala ya kitaifa?? Issue ya mahakama ya kadhi ni swala la Bakwata kumbuka sio waislamu wote wanaitambua Bakwata kwa hiyo hii ni ishu ya kikundi cha bakwata sio swala la kitaifa.Pili kujadili maswala yanayo husu dini bungeni ni kinyume cha katiba. Tatu hata...
Mtoa mada utakuwa umeshiba wali, wewe utakuwa miongoni mwa wachungaji walienda kula wali,unatetea nini sasa kama unaakili ifike wakati watanzania tupunguze njaa, umepewa wali unakuja tetea upuuzi unaandika makala ndefu pumba tupu. Hiyo strategy ya kupikia watu wali afu mnasema wamekuja kumuomba...
Lowasa atafute muandika script mwingine huyu wa sasa hana viwango FILAMU zinakosa uhalisia, aibuu Yao. Kama m2 anasifa maigizo ya nini jamani????? Candidate wa namna hii hana nia njema na taifa letu, hutakiwi kufanya maigizo ili uchaguliwe, na anae engineer hii mipango ni kilaza wa mwisho.
Edo hana afya ya kuongoza nchi,mnaompigia chepuo awe raisi kwa nini msimshauri akapime afya kwanza.itakuwa jambo LA ajabu kama tutamchagua MTU mgonjwa kuwa rais.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.