Recent content by Ummayed

  1. Ummayed

    Huyu mhalifu wa Selander alipaswa kukamatwa, siyo kuuawa

    Wabongo hawanaga akili kabisa. Nawashangaa sana. Badala ya kuangalia vya maana wanaanza kukosoa ujinga. Wamesahau kuwa polisi hao hao ndio waliweka hali shwari Kibiti na mpkn mwa Mtwara.Wameshasahau polisi hao hao ndio walioleta hali ya utulivu nchini. Wanashindwa kupima tukio limetokea kwa...
  2. Ummayed

    Huyu mhalifu wa Selander alipaswa kukamatwa, siyo kuuawa

    Mh ndugu taratibu. Unatakiwa uangalie je Tz ni nchi ilopitia matokea haya mara ngapi na imezoelekaje mazingira yake? Tz imezoeleka nchi ya amani ndugu na ndio maana hata tukio km la jana limesumbua kwasababu jeshi letu lime relax kulingana na hali ilokuwepo nchini. Jiulize mbn USA walishindwa...
  3. Ummayed

    Huyu mhalifu wa Selander alipaswa kukamatwa, siyo kuuawa

    Sikulaumu hayo ni mawazo yako ila tambua bunduki km AK47 au SMG hawashiki askari wa kawaida angalia yule jamaa alishika silaha ya aina gani na kawaida maaskari hutumia silaha ya aina gani. Halafu angalia Tanzania ni nchi ya aina gani. Hii nchi ilizoea amani na tulikaa muda mrefu hatuna bugudha...
  4. Ummayed

    Marekani inaongoza kwa kuzivamia nchi na kuangusha tawala zake. Orodha yake hii hapa; Waarabu wanapumulia pabaya

    Kumbuka Iran naye ana allies km US allies wake ni Lebanon Hizbollah na nchi zingine za kishia.Halafu Iran usidhani backup yake ni kutoka Russia yeye mwenyewe pia anajiweza kiteknolojia ya kijeshi uelewe hilo. Iran anajiweza.Na ndio maana Saudia, UAE na Bahrain wanaogopa kumfanya lolote kwasababu...
  5. Ummayed

    Marekani inaongoza kwa kuzivamia nchi na kuangusha tawala zake. Orodha yake hii hapa; Waarabu wanapumulia pabaya

    Yan umeitaja na China km vile China ni nchi ya kawaida ilhali China ndiye anayemnyima usingiz USA in all aspects km hujui. Iran kupasuka labda wananchi waandamane na kumtoa kiongoz wao madarakan kwa mikono yao km ifanyavyo Yemen Ila sio washirikiane na US km walivyofanya Libya maana usidhan km...
  6. Ummayed

    Iran kupitia ubalozi wa Uswis yatuma meseji kwa Marekani: Shambulio lolote dhidi yake litajibiwa

    Kakojoe ulale Sent using Jamii Forums mobile app
  7. Ummayed

    Iran kupitia ubalozi wa Uswis yatuma meseji kwa Marekani: Shambulio lolote dhidi yake litajibiwa

    Kuna kusoma na kuelewa. Mwenye akili timamu huelewa kile alichokisoma ila mpumbavu huwa anashindwa kuelewa kile akisomacho . Rudia kusoma uelewe ndio uquote . Sent using Jamii Forums mobile app
  8. Ummayed

    Vipi pesa madafu - Kenyan shilling now rallies to an 8-month high

    Kuwait dinar. Maana kuna dinar ya Suudia na kuna dinar ya Kuwait. Kuwait ya dinar ni Mara mbili unusu ya dollar Sent using Jamii Forums mobile app
  9. Ummayed

    Kenya Army VS Tanzania Army

    Unajua maana ya msaada? Sema mlitoa rambirambi. Msaada walitoa Islamic Foundation sio ninyi.
  10. Ummayed

    Ukitaka kujua Uhalisia wa Hali ya wakenya, Enda Twittani😂😂

    Dah jamaa simpendi kiukweli. Yani hakuna mambo ya msingi anayoongea yeye ni upuuzi tu hata Jokate anamshinda. Huwa nawaza hv Magufuli anamwachia nn huyu jamaa?? Nashukuru Mungu kuna mwanasheria alisema Idris hana kosa na atamtetea na akamsema Makonda aache kukurupuka na kutafuta sifa. Nimemsifu...
  11. Ummayed

    Ukitaka kujua Uhalisia wa Hali ya wakenya, Enda Twittani😂😂

    Si kweli usituongope hapa eti the more you develop the higher cost of living. Asee ungesikiliza falsafa ya Mahatma Ghandi usingeropoka hivi.
  12. Ummayed

    Ukitaka kujua Uhalisia wa Hali ya wakenya, Enda Twittani😂😂

    Makonda ndio kakurupuka. Rais wala hakutaka Idris akamatwe. Shobo za Makonda.
  13. Ummayed

    Kenya Army VS Tanzania Army

    Wacha kabisa kufananisha TPDF na vitu vya kipumbavu dude. vulcan
  14. Ummayed

    Iran kupitia ubalozi wa Uswis yatuma meseji kwa Marekani: Shambulio lolote dhidi yake litajibiwa

    Hasn't stopped akati inaelekea kulose mzee!!! You can't be serious.
Back
Top Bottom