MAKOMBO
Ama kwa mlaji kweli,ambaye hapuuzii,
Asiye na mushkeli,kula afanya bidii,
Mle hujiweka mbali, kukera sidhamirii,
Nakula siyawachii,niyakutapo makombo.
Dk. Kassim Pazi Haumotile,
MWANANCHI, Septemba 27,2013
MAKOMBO(SAPOTI)
Makombo yana utamu,nikutapo sizembei,
Halani hutia...