Mkuu, nilipwe fedha hizo kama nani? Mimi ni mzalendo ninayezingatia ukweli. Kwa nini tunapenda kukwepa ukweli na kupakaziana mambo ya ajabu. Tukisimama kwenye ukweli tutaona kwamba wahuni wachache walikuwa wanajitafutia sifa kwa kuzusha mambo na kuitikisa nchi pasipo na sababu yoyote. Huo ndio...
Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) iliwajaza hasira wananchi pale ilipotoa taarifa potofu bungeni kuwa fedha zilizokuwa kwenye Akaunti ya Escrow ya Tegeta zilikuwa zimechotwa. Wananchi walikuwa na haki ya kujawa na hasira kwa sababu walilishwa taarifa iliyoonyesha kuwa fedha zao (za...
Kwa mara nyingine nimegundua werevu wa JK. Aliwaambia Watanzania waisome ripoti ya CAG kabla hajatamka lolote. Lakini badala ya kusoma watu wanaimba suala la wizi au uchotaji wa fedha kutoka akaunti ya escrow. Wametoa wapi taarifa hizo? Upotoshaji huu unaweza kuipeleka nchi kubaya.
Ni kweli, huyo bwana ni miongoni mwa wazalendo wanaowawezesha sana watanzania wegine kupitia misaada ya kijamii. Ni vema wanaomtuhumu wakafuatilia historia yake kwani watagundua kwamba amewasaidia watu wengi sana, hasa pale anapogundua kwamba misaada ile inalenga kuendeleza jamii. Si haki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.