Recent content by ulate78

  1. ulate78

    Jinsi familia zinavyoishi kwenye chumba kimoja na joto la Dar

    Ndio maisha tuliyojaaliwa kaka hata hivyo vitabu vya Mungu vimeandika kuna Matajiri na Mfukara sisi na maisha yetu nanyi na maisha yenu..
  2. ulate78

    Kwa wimbi hili la Watanganyika kuhamia Zanzibar, tujiandae wazanzibar kupoteza utambulisho wetu ndani ya miaka kumi ijayo

    Huo ni ubaguzi mbona nyinyi mmejaa huku mnauza mikate ya bofulo,ubuyu na urojo na hatusemi kuwa nyinyi ni wazanzibar??hatuwabagui tunajua ninyi ni wenzetu..Acha ubaguzi
  3. ulate78

    Hatimaye nimewasili nchini Pakistan

    Pakistan siyo warabu kaka....nchi zote zinazoishia na Stan siyo warabu
  4. ulate78

    Mapumziko ya Kitaifa baada ya Ushindi wa Taifa Stars

    tunatakiwa tushinde tufike point 8.tukifungwa tutabaki na tano na lesotho naye atakuwa na tato. mechi tunatakiwa jumla kucheza ni 6
  5. ulate78

    Mapumziko ya Kitaifa baada ya Ushindi wa Taifa Stars

    kufuzu kwetu ni kushinda mechi ya leo timu hizo mbili chini yetu hazitafikia point zetu vinginevyo lesotho naye nafasi atakuwa nayo.kumbuka kila timu inatakiwa icheze mechi 6
  6. ulate78

    Mapumziko ya Kitaifa baada ya Ushindi wa Taifa Stars

    Tunatakiwa tushinde sio draw bado kuna mechi moja ya kucheza kumalizia baada ya hii
  7. ulate78

    Mapumziko ya Kitaifa baada ya Ushindi wa Taifa Stars

    Tunachohitaji leo nikuomba na wachezaji wajitume tushinde kwanza usipange sherehe kabla muolewaji hajakubali....halafu ndio kucheherekea
Back
Top Bottom