Recent content by Ulanziwang'ombe

  1. Ulanziwang'ombe

    JamiiForums Tanzania Ugomvi wa Mengi na Prof. Muhongo nani msuluhishi?

    Ila wewe nasikitika sana kukueleza kuwa hicho kichwa kimejaa mav. tu. Nani alikuambia kuwa wawekezaji wanakuja na pesa kutoka nje. kwa taarifa yako wawekezaji wanadhaminiwa na serikali wakati mwingine halafu munawaita wawekezaji wa nje. Kweli itatuchukua muda mrefu kujikomboa kifikira wa...
  2. Ulanziwang'ombe

    JamiiForums Tanzania Ubaguzi CHADEMA waanza kumea mpaka kwenye UKAWA

    ila wewe jamaa ni mav. kweli hizi shida zitatusumbua kweli. kweli umaskini ni tatizo unaweza hata kuuza utu wako kutetea au kuponda hata vitu visivyoponeka. punguza njaa kaka anaglia utaolewa.
  3. Ulanziwang'ombe

    JamiiForums Tanzania Ubaguzi CHADEMA waanza kumea mpaka kwenye UKAWA

    Niliwahi soma siku moja humu ndani kuwa wewe jama ni hayawani sasa nimeamini ni kweli hayawani. Hivi mtu mwinginea akitumia helcopter na mwingine gari unakuwa ni ubaguzi. Sasa kama helcopiter ipo moja na wote wanakwenda sehemu tofauti tofauti wangefanyaje. kaka acha kutumika kama condom.
  4. Ulanziwang'ombe

    JamiiForums Tanzania Baraza kivuli ni mzigo: Prof. Lipumba & Mbatia, acheni kujidhalilisha!

    Ila na wewe sasa ukina mtoto anapiga kelele basi ujue sindano imeingia tayari. Sasa wewe unauona umzigo wa hao wapinzani lakini huoni umzigo wa serikali yako ya CCM. Kweli humundani tunavichaa wengi.
  5. Ulanziwang'ombe

    JamiiForums Tanzania Huu ni Udhaifu wa Upinzani, Hakuna ndoa ya wanaume wengi

    Kuna rafiki yangu hapa Mbeya aliwahi kuniambia kuwa wewe unaufanyia mwili wako ujasiriyamali nikafiriki ameamua kukuumbua kwa sababu umeenda CCM sasa nimeamini kuwa wewe kweli ni Changu Do. hay dada endelea na biashara yako hiyo hatuna uwezo wa kukufanya kwasababu ni mwili wako na unamamalaka nao.
  6. Ulanziwang'ombe

    JamiiForums Tanzania Tusipo chukua hatua madhubuti wa Tanzania CCM watalifisi taifa

    hivi wewe msalani hujui kuwa watanzania wanafanyakazi sana lakini ccm ndio wanaokula pesa zetu anagalia kila mwezi tunakatwa kodi lakini maendeleo ni kidogo sana bali nikujaza mifuko ya wakubwa na watoto wao tu
  7. Ulanziwang'ombe

    JamiiForums Tanzania Hizi Radio ni za CCM?

    Ndugu zangu naona mumeshasahau kuwa Asikofu mtetemela kuwa ni kada wa CCM na aligombea ubunge jimbo la Dodoma mjini kupitia CCM na akashindwa kwenye kura za maoni.
  8. Ulanziwang'ombe

    JamiiForums Tanzania Tamko kutoka TBC: Mvua iliathiri mitambo wakati wa hotuba ya Lissu

    Hivi kweli wewe unaweza kuongea hivi au unatutania ili tukupongeze maana wewe na wapinzani ni sumu.
  9. Ulanziwang'ombe

    JamiiForums Tanzania Maoni ya wajumbe 'walio wachache' katika Kamati namba Nne iliyowasilishwa na Mhe. Tundu Lissu!

    Ni kweli kaka hapo tulipofika ni pazuri sana. Ni suala la wakati tu Watanzania wategemee mabadiliko makubwa sio muda mrefu. maana ukiona hivyo ujue maji yamefika shingo. Mfa maji huyashika hata maji yenyewe ingawa hayashikiki
  10. Ulanziwang'ombe

    JamiiForums Tanzania Maoni ya wajumbe 'walio wachache' katika Kamati namba Nne iliyowasilishwa na Mhe. Tundu Lissu!

    Ukisema aliyosema ni ya kweli tusingekushambulia hivyo ila tumefikiri kuwa wewe hutaki kusikia ukweli hata kama anayesema ni mkweli kwa wakati huo.
  11. Ulanziwang'ombe

    JamiiForums Tanzania Maoni ya wajumbe 'walio wachache' katika Kamati namba Nne iliyowasilishwa na Mhe. Tundu Lissu!

    Hayo maneno ni ujumbe wako na uko hivyo siyo uongo
  12. Ulanziwang'ombe

    JamiiForums Tanzania Maoni ya wajumbe 'walio wachache' katika Kamati namba Nne iliyowasilishwa na Mhe. Tundu Lissu!

    Huwa nakuambia changu doa wewe huwa unakata. Ona sasa unadhalirika pole sana
  13. Ulanziwang'ombe

    JamiiForums Tanzania Maoni ya wajumbe 'walio wachache' katika Kamati namba Nne iliyowasilishwa na Mhe. Tundu Lissu!

    Mbona tunakufaham kuwa wewe ni mav. tu nani asiyejua hilo?
  14. Ulanziwang'ombe

    JamiiForums Tanzania Siri ya Vita ya Warioba na Professor Shivji Hii Hapa!!

    najilaum kusoma mambo ambayo ameandika mav.
  15. Ulanziwang'ombe

    JamiiForums Tanzania Kumbe Lipumba alishinikizwa na Mbowe na Mbatia kujitoa kwenye Kamati ya Uongozi

    Imeniuma sana kuisoma mhii post kumbe ni wewe wa buku saba. umekuja kuny kuny hapa sasa ona umetoa harufu mbaya sana.
Back
Top Bottom