Recent content by Ukyakya

  1. U

    JamiiForums Tanzania DC Ali Hapi awanyang'anya ofisi Wabunge Mdee, Mnyika na Kubenea wa CHADEMA. Kubenea ang'aka...

    --------------- Egnecious anasema... Fahamu sababu wabunge Mdee, Mnyika na Kubenea kuondolewa ofisi za DC Kinondoni Kumekuwepo na taarifa inayosambaa kuwa Mkuu wa wilaya ya Kinondoni Ally Hapi amewafukuza kwenye ofisi zake wabunge Halima Mdee (Kawe) na Saidi Kubenea (Ubungo). Baada ya kufanya...
  2. U

    JamiiForums Tanzania Evarist Chahali: Kuna kiongozi wa nchi jirani ana "compromising information" kuhusu kiongozi mmoja "Mkubwa"

    Muwe mnakubali basi kukosolewa msipende kusifiwa tu usalama ukiingiliwa nchi imeingiliwa
  3. U

    JamiiForums Tanzania Evarist Chahali: Kuna kiongozi wa nchi jirani ana "compromising information" kuhusu kiongozi mmoja "Mkubwa"

    Ujumbe huu umekuwa edited kuna maneno muhimu kwa nchi kuliko haya yote yameondolewa kasomeni ujumbe kamili facebook
  4. U

    JamiiForums Tanzania Carol Ndosi: Barua kwa Rais wangu mpendwa Dkt. John Pombe Magufuli

    BARUA YA WAZI KWA MHESHIMIWA RAIS JOHN POMBE MAGUFULI. Barua hii imeandikwa na Mjasiriamali Carol Ndosi. __________________________________________ Mheshimiwa Rais wangu mpendwa Dr John Joseph Pombe Magufuli, Shikamoo. Natumai ni mzima wa afya na unaendelea kutimizia wajibu wa kazi ya...
  5. U

    JamiiForums Tanzania Wapinzani Kujiunga CCM: Wanaikubali CCM Imebadilika?, Wanamkubali Magufuli na Kumfuata?, Au ni Njaa Zimewakimbiza?.

    Pointi ya msingi hujaitaja hapo nayo ni "HOFU YA USALAMA WAO"
  6. U

    JamiiForums Tanzania Madikteta wote duniani hufanana

    Mwanakijiji ulitabiri na ukashiriki kumleta kumuingiza dikteta
  7. U

    JamiiForums Tanzania Evarist Chahali: Kila mwenye mapenzi ya dhati na Tanzania amwambie Magufuli "unaipeleka nchi kusikofaa"

    Kwahiyo kipindi anampigia kampeni dikteta uchwara mlikuwa hamuumjui sahizi amewageuka na kujirudi ktk utu na Utanzania kwanza kuliko kumuabudu mtu mmoja mnaanza ooooh tunamjua huyu fyuuuuu!
  8. U

    JamiiForums Tanzania Evarist Chahali: Kila mwenye mapenzi ya dhati na Tanzania amwambie Magufuli "unaipeleka nchi kusikofaa"

    Andiko hili ni zito, limeandikwa na Evarist Chahali, Ofisa Usalama wa Taifa wa Zamani. (LISOME KWA UTULIVU). _______________________________________ Kila Mwenye Mapenzi Ya Dhati na Tanzania Amwambie Magufuli "Unaipeleka Nchi Kusikofaa" Tarehe 18 Februari 2018. Nianze makala hii kwa kutoa...
  9. U

    JamiiForums Tanzania Tabia ya kulindana na kufichiana maovu, inazidi kuota mizizi ndani ya CHADEMA.

    Pumbavu wewe hiyo mkurugenzi wa uchaguzi angefuata taratibu maandamano yangekuwa ya mini! Pia je unajua ni wakati gani polisi anaruhusiwa kutumia risasi za moto au unaharisha tu hapa unyoko wako.
  10. U

    JamiiForums Tanzania Operation ya Waziri wa Uvuvi na Mifugo yawatia umasikini wananchi Kanda ya Ziwa, Musukuma amshukia...

    Hivi hii operation inahusu Tz pekee ama ipo pia Kenya na Uganda? Maana rasilimali za ziwa Victoria tuna share na hizi nchi sasa tunawafilisi watu wetu wakati wenzetu wananchi wao wanaendelea kufaidi ziwa hilo hilo au kuna mpaka wa kuzuia samaki upande wa Tz wasiende nchi nyingine ndani ya ziwa...
  11. U

    JamiiForums Tanzania Lowassa: Ujumbe wa Rais Magufuli ni kunitaka nirejee CCM, ila nilikataa

    Sas Ulitaka aseme ukweli pale mbele ya mfalme ili wamu arrest eti!
  12. U

    JamiiForums Tanzania Polepole: Kiongozi mwingine mkubwa wa upinzani kuhamia CCM

    Sasa Dr Slaa ni kiongozi mkubwa wa upinzani ama alikuwaga mpinzani na aliisha rudi ccm siku nyingi tu wala hana jipya.
  13. U

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli sisi wananchi wa Singida Mashariki tunahitaji mbunge

    Mungu hadhihakiwi dhihaka yako tumeiona ujue hujafa hujaumbika shika sana neno hili
Back
Top Bottom