Unachoongea ni sahihi hata sisi watumishi hatuna sehemu ya kutoa maoni yetu.
Tumekuwa tukiomba vikao ila wameshindwa kutusaidia hata kidogo ndo maana tunamalizia hasira humu.
Habari.
Mimi ni mtumishi wa wizara ya afya ninayefanya kazi Moja za hospitali za rufaa nchini Tanzania.
Ngoja niweke malalamiko makubwa yanatukumba sisi watumishi wa afya nchini Kwa sasa.
1.Kumekuwa na ukiritimba mkubwa Kwa viongozi wa hospitali Kwa kutaka kuogopeka kama miungu watu hasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.